Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Waziri mkuu wa kwanza wa jamhuri ya Tanganyika ni Kawawa.Waziri mkuu wa kwanza Tanganyika alikuwa Nyerere.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri mkuu wa kwanza wa jamhuri ya Tanganyika ni Kawawa.Waziri mkuu wa kwanza Tanganyika alikuwa Nyerere.
hilo nalo ni wazo zuri kwani inaweza kuunganishwa kwa kumbukizi ya muasisi iwe inabeba wote...Wazo zuri pia au itengwe siku 1 yakuwakumbuka wote kama marekani wanavyofanya
Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika huru alikuwa J. K. NyerereTanganyika ilipokuwa Jamuhuri waziri wake mkuu alikuwa JK Nyerere
Kwani kumbu kumbu ya Nyerere huwa inaandaliwa na serikali au familia?Iko hivi
Watu wa Kaskazini hususan Wakristo huwa wana Desturi ya kuwakumbuka Wazee wao waliofanya mambo makubwa yaliyogusa maisha yao
Usishangae hata wazee wa kule walio hai huwa wanafanya mpaka Aniversary ya ndoa zao na wanakaribisha wageni wengi tu na chakula cha kutosha kinapikwa sembuse Mtu mkubwa kama Sokoine ambaye nusura awe Rais wa nchi hii?
Na hayo yote wanaofanya ni NDUGU na JAMAA na wanaalika wageni
Suala la Dr. Omary Ally Juma na Rashid Mfaume Kawawa kama hawakumbukwi waulize ndugu zake walio hai