Mbona hizi dini zinachanganya?

Mbona hizi dini zinachanganya?

PAPA Francis anapigania maisha huko ICU yaani hataki kwenda mbinguni [emoji1787]

Izi DINI sometime zinachanganya sana sasa papa hataki kwenda mbinguni nani anataka? kama papa hataki?...

Kwaresma NJEMA.
tunajizuia kufa kwa mambo mengi tu, sio kwa kutibiwa ugonjwa tu! Tuna kula chakula salama ili tusife, tunakunywa maji ili tusife, tunaishi mahala palipo jikinga na salama ili tusife, tuna vuka barabara kwa ungalifu ili tusife. Kuua ni dhambi hata kama utajiua mwenyewe.
 
tunajizuia kufa kwa mambo mengi tu, sio kwa kutibiwa ugonjwa tu! Tuna kula chakula salama ili tusife, tunakunywa maji ili tusife, tunaishi mahala palipo jikinga na salama ili tusife, tuna vuka barabara kwa ungalifu ili tusife. Kuua ni dhambi hata kama utajiua mwenyewe.
Mkuu,

Kuna tofauti kati ya kujizuia kufa na kupigania maisha.

Papa anapigania maisha, hajizuii kufa tu.
 
Kiranga hata Kama hana bando yupo tayari kukopa ili achangie mada ya kupinga uwepo wa Mungu
Sijawahi kutumia internet ya bando mkuu. Labda nikija likizo Tanzania ambako nako nina option ya mitandao ya Kimarekani.

Mimi natumia unlimited internet. Halafu nina unlimited internet nyingine ya WiFi.

Bando hata mnavyoweka sijui.
 
jambo la kwanza ni kupigania UHAI WAKO KWA GHARAMA YOYOTE

jambo la pili kuipigania AFYA yako kwa namna yoyote ile

jambo la tatu kuliangaikia tumbo lako

hvyo ndivyo kila binadamua anatakiwa afany kila siku bila kujari kam utaenda peponi au motoni

ukidhulumu uhai wako(kujiua) ni dhambi na unaenda motoni

ukilifanyia ubahili tumbo lako na afya yako ni dhambi pia

wewe hapa duniani pambana tu iwe jua uwe mvua pambana mpk tone la mwisho

kufa utakufa tu huwezi kukimbia KIFO
ukitaka uishi maisha marefu yasiyo na shaka yaani uenjoy hapa duniani usiogope KIFO wewe yaogope matendo yako au yafurahie matendo yako hakika hautaofia kifo 7bu unajua una deni kwa muumba wako

enjoy kila dakika katika maisha yako Uumbaji haujirudii hakuna FELAKUTI mwingine na hatotokea tena hata wa kufanana nae pale NIGERIA imebaki LEGANCY yake kula maisha mwanangu
ila kumbuka SWALA NA KAZI mfungo kama hij wa ramadhani au kwa resima funga kujenga AFYA na kupuunguza dhambi
Umeeleza vyema sana
 
Unaanza kuupambania uhai wako kila siku; chakula unachokula kila siku ,usalama na ulinzi dhidi ya maadui , kutunza afya ...Hivyo vyote ni katika mafundisho ya dini .
Kama ingekuwa rahisi kama mawazo yako basi dini zimgeruhusu watu kujiua.
 
Wale wote wanaosema Kiranga anapenda sana hizi mada oneni sasa, Kiranga anaitwa sana kuchangia hizi mada.

Kwa sababu watu wengi wanapenda kusikia mawazo ya Kiranga kuhusu hizi mada.

Kuhusu dini kuchanganya watu.

Dini lazima zikuchanganye.

Kwa sababu zimejengwa katika misingi ya uongo.

Hao mapapa wamesoma falsafa na theolojia wengi wao kiukweli ni ma atheist ila wanajifanya wanaamini Mungu kwa sababu wanaona hiyo ndiyo njia ya ku control watu tu.

Ni vigumu sana kusoma falsafa na theology ukafika level ya kuwa Cardinal au Papa bila ya kujua mambo kama the problem of evil na kuwa na uelewa kuwa hizi dini ni kabobo tu.

Papa Francis aloulizwa swali la the problemnof evil na kasichana kadogo hapo Manila, kaliuliza kwa nini watoto wadogo wanaishia kujiuza kwa natatizo wakati kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote?

Papa alishindwa kujibu na akaishia kulipiga danadana za kisiasa tu swali hilo.


Nimeisoma hiyo makala.

Nimelipenda jibu la Papa Francis.

Ma-genius ndiyo watalielewa vizuri jibu hilo.
 
Nimeisoma hiyo makala.

Nimelipenda jibu la Papa Francis.

Ma-genius ndiyo watalielewa vizuri hilo.
Umesoma link ya CNN au hiyo ya Wakatoliki?

Hilo si jibu.

Hizo ni danadana za kisiasa tu.
 
Tuendelee kutamba na hizi pumzi tulizochukua mkopo tena mkopo wenyewe kausha damu ile ya mtu hulali kama hujarejesha rejesho.

Ukiwa mzima huumwi hata ukucha mkononi umeshikilia device yako charge 70% bundle la kutosha mfukoni una cent mbili tatu za kubadili mboga huku kichwani ukihisi una akili za kutosha aah mbona wewe mwanaume!,ikiwa sijui second tano mbele nini kitanitokea nina nidhamu mno na kinywa na vidole vyangu hasa wakati huu teknolojia illvyoenea.
 
Back
Top Bottom