kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Kuna miungu wengi, wazungu wakatumbia tuachane na miungu yetu tufuate yao.Kwa hiyo tuseme Kuna miungu siyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna miungu wengi, wazungu wakatumbia tuachane na miungu yetu tufuate yao.Kwa hiyo tuseme Kuna miungu siyo?
Kiranga hauamini uwepo wa Mungu hata nikikujibu "Kwa nini" Papa Francis alimjibu hivyo,bado utabisha,na mimi huwa sipendelei kubishana,halafu sijui kubishana,mimi majibu yangu huwa ni "Yes" au "No" halafu naweka nukta.Kwa nini?
Kila mtu anatakiwa kubaki na mungu wa asili yake.Kuna miungu wengi, wazungu wakatumbia tuachane na miungu yetu tufuate yao.
Dah! Mungu amekujaalia sanaSijawahi kutumia internet ya bando mkuu. Labda nikija likizo Tanzania ambako nako nina option ya mitandao ya Kimarekani.
Mimi natumia unlimited internet. Halafu nina unlimited internet nyingine ya WiFi.
Bando hata mnavyoweka sijui.
We mungu wa asili yako naniKila mtu anatakiwa kubaki na mungu wa asili yake.
Simjui ndo namsaka.We mungu wa asili yako nani
Hauna mungu wa asili wewe!!!Simjui ndo namsaka.
Exactly 💯jambo la kwanza ni kupigania UHAI WAKO KWA GHARAMA YOYOTE
jambo la pili kuipigania AFYA yako kwa namna yoyote ile
jambo la tatu kuliangaikia tumbo lako
hvyo ndivyo kila binadamua anatakiwa afany kila siku bila kujari kam utaenda peponi au motoni
ukidhulumu uhai wako(kujiua) ni dhambi na unaenda motoni
ukilifanyia ubahili tumbo lako na afya yako ni dhambi pia
wewe hapa duniani pambana tu iwe jua uwe mvua pambana mpk tone la mwisho
kufa utakufa tu huwezi kukimbia KIFO
ukitaka uishi maisha marefu yasiyo na shaka yaani uenjoy hapa duniani usiogope KIFO wewe yaogope matendo yako au yafurahie matendo yako hakika hautaofia kifo 7bu unajua una deni kwa muumba wako
enjoy kila dakika katika maisha yako Uumbaji haujirudii hakuna FELAKUTI mwingine na hatotokea tena hata wa kufanana nae pale NIGERIA imebaki LEGANCY yake kula maisha mwanangu
ila kumbuka SWALA NA KAZI mfungo kama hij wa ramadhani au kwa resima funga kujenga AFYA na kupuunguza dhambi
Kila mtu ana mungu wa asiliHauna mungu wa asili wewe!!!
Kwa hiyo kila mtu ana mungu wake peke yake auKila mtu ana mungu wa asili
Siyo wa peke yake bali wa jamii yake yaani jamii anayotokea.Kwa hiyo kila mtu ana mungu wake peke yake au
Kwa hiyo miungu iko mingi sana dunianiSiyo wa peke yake bali wa jamii yake yaani jamii anayotokea.
Unahubiri dini wakati mimi natafuta jibu la kimantiki, hatuwezi kuelewana.Kiranga hauamini uwepo wa Mungu hata nikikujibu "Kwa nini" Papa Francis alimjibu hivyo,bado utabisha,na mimi huwa sipendelei kubishana,halafu sijui kubishana,mimi majibu yangu huwa ni "Yes" au "No" halafu naweka nukta.
Hapo Papa Francis ni kama alikuwa ana muambia huyo binti asimlilie Yesu bali binti ajililie nafsi yake.Kuelewa hili inahitajika hekima au akili ya hali ya juu kama ambavyo kuelewa Luka 23:27 ina mhitaji mtu kuwa philosopher ili aelewe.
Luka 23:27 Yesu akawageukia akasema,Enyi binti za Yerusalemu(zinaweza kuwa binti za mahali popote,binti za Bukoba,binti za Geita,binti za Mwanza,binti za Dar es Salaam n.k),msinililie mimi ( Yesu anasema wasimlilie yeye maana anajua anaenda kutimiza mission yake aliyotumwa na Mungu kuja kumkomboa mwanadamu) , bali jililieni nafsi zenu na watoto wenu.
Binti ajililie nafsi yake ili na yeye siku moja aweze kutimiza mission ya roho yake aliyopewa na Mungu kuja kuikamilisha duniani,awe mtakatifu.
Mungu hayupo mkuu.Dah! Mungu amekujaalia sana