Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Zanzibar yenyewe jumla ina watu laki mbili.Single mother ni zao la Uzinzi.
Kama sio mbona hapa Zanzibar hakuna single mother? Na Kama wapo ni wachache mno na wanaume wengi wamewastiri .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar yenyewe jumla ina watu laki mbili.Single mother ni zao la Uzinzi.
Kama sio mbona hapa Zanzibar hakuna single mother? Na Kama wapo ni wachache mno na wanaume wengi wamewastiri .
1. Ndoa za mitala zimepusha janga
(Imani yao islamic imesaidia Sana)
2. z'bar wanawake wao wanajisitiri Sana
(Hawavai nus-uchi kuongeza matamanio)
3. Kupata mwanamke wa kujipigia one-night stand wa mitaani stand kwa z'bar Ni shughuli pevu sn.
(Wanaogopa zinaa balaa, kila binti anataka ukaonekane kwao Kwanza. Kwa Wapiga night-stand huo mlolongo Ni big turnoff)
4. Wanawake wa z'bar wanatembea haraka Sana,afu hawamwamini mtu kirahisi.
(Ngumu sn kumsimamisha akasimama na hakujui)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Cha mbinu Wala nini,ni maadili,Bara watu wanalala na magoma bila ndoa na fresh,yaani nchi inanuka zinaa tuPunguza sauti....usiwabutulie mbinu yao
Huko huwa mnaenda wa Bara kufanya umalayaZanzibar Hii nnayoijua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nicheke mie
Mitala.. !Single mother ni zao la Uzinzi.
Kama sio mbona hapa Zanzibar hakuna single mother? Na Kama wapo ni wachache mno na wanaume wengi wamewastiri .
Single mother ni zao la Uzinzi.
Kama sio mbona hapa Zanzibar hakuna single mother? Na Kama wapo ni wachache mno na wanaume wengi wamewastiri .
Wanawake wote tokata Tanganyika waliopo bara %99 single mother na watoto wao wamewapeleka kwa bibi zao kijijini na wao wana walia pesa wazanzibari na kutuma kijijini kwaoSingle mother ni zao la Uzinzi.
Kama sio mbona hapa Zanzibar hakuna single mother? Na Kama wapo ni wachache mno na wanaume wengi wamewastiri .
Mke mkubwa na mdogo na mdogo tena huko wamejaa.Single mother ni zao la Uzinzi.
Kama sio mbona hapa Zanzibar hakuna single mother? Na Kama wapo ni wachache mno na wanaume wengi wamewastiri .
Hili nalo lichunguzweNasikia huko ambao hawajaolewa wanatunza sana Bikra ya mbele, lkn rinda Zina hali mbaya