Mpaka kaficha mwili na kanzu!!!! Halafu hasikiki kabisa tena huyu TID wa kizazi cha maombi. Tuombe Mungu awanusuru hawa vijana maana kuna mambo mengi hatarishi yanawasonga sana kama madawa (Heroine, cocaine, Bangi, na mengineyo), pombe, uzinzi tena kwa chain sasa wataponea wapi? Halafu akwae VVU huku anaendekeza tabia za maisha si anaondoka kwa haraka tu? VVU inahitaji nidhamu ya hali ya juu sana ili uweze kuvuka miaka ya kutosha, vinginevyo mwaka tu unaondoka!! Ukishika nidhamu na masharti hesabu over 40 years with VVU!!