Mbona Ikulu ya Kenya haivutii Kama Ikulu ya Tanzania

Mbona Ikulu ya Kenya haivutii Kama Ikulu ya Tanzania

Mazingira pamoja na majengo ya Ikulu ya Kenya ni ya kawaida sana
Ukiangalia hata ukumbi wa mikutano designed very poor compare to that of Ikulu ya Tanzania
Yaani Kama kusingekuwepo nembo ya harembee ungesema labda ni hostel

Take it as a challenge mbadilishe Ikulu wakenya Hiyo ndio taswira ya nchi

Ikulu ya Tanzania inavutia sana
kingine ikulu yetu ilijengwa na wajerumani, yao ilijengwa na waingereza, hivyo iko nje ya uwezo wetu na wao kusema tulijiamulia ikulu ziwe hivyo

na kuhusu bunge lao lilijengwa na waingereza, ila letu tumejenga wenyewe karne ya 21 hivyo kwa kuwa letu ni la juzi tu ni dhahiri litakuwa la kisasa
 
na kuhusu bunge lao lilijengwa na waingereza, ila letu tumejenga wenyewe karne ya 21 hivyo kwa kuwa letu ni la juzi tu ni dhahiri litakuwa la kisasa

Kweli. bunge lenu linakaa ukumbi wa uchawi na uganga. 😂 😂
Jumba ambalo na expect kuona Ghana, lakini sio East Africa.
Kenya's parliament was modeled a bit from Big Ben.

1109541
 
Vipi waingereza wakajenga jumba la kifahari Nairobi, na msikiti Dar? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Basi ni kweli wanavyosema. Kenya ilikuwa ndiyo crown jewel yao Africa.
ikulu yetu ilijengwa na wajerumani sio, waingereza, tena , mtindo wake wa ujenzi ulikuwa inspired na jengo la kiutawala la kijerumani la bagamoyo, ukienda bagamoyo utakuta jengo la kale linaitwa boma la wajerumani, linafanana sana na ikulu yetu. wajerumani walipotaka kujenga ikulu walikopi mtindo wa jengo hilo la bagamoyo
 
ikulu yetu ilijengwa na wajerumani sio, waingereza, tena , mtindo wake wa ujenzi ulikuwa inspired na jengo la kiutawala la kijerumani la bagamoyo, ukienda bagamoyo utakuta jengo la kale linaitwa boma la wajerumani, linafanana sana na ikulu yetu. wajerumani walipotaka kujenga ikulu walikopi mtindo wa jengo hilo la bagamoyo

Wewe na Wikipedia nani anaongea ukweli?

Wikipedia inasema jengo lilijengwa na British Governor Horace Byatt mwaka 1922.
Architect alikuwa John Sinclair.
1109589
 
Wewe na Wikipedia nani anaongea ukweli?

Wikipedia inasema jengo lilijengwa na British Governor Horace Byatt mwaka 1922.
Architect alikuwa John Sinclair.
View attachment 1109589
hiyo wikipedia ndio yenye walakini,
mfano, ni wazi kuwa mtindo ule wa ikulu yetu ni wa boma la bagamoyo, na tena wajerumani ndio walifanya dar kuwa makao makuu, wao waingereza walikuja kuvamia tu

plus hiyo wikipedia wanaita ikulu yetu "whitehouse" jina ambalo hatuiiti sie tunaiita 'ikulu'.

hizo wikipedia zimeandikwa na watu ambao hawajui vitu wanakurupuka tu
 
Kwahiyo hata breakfast hutembea kwa miguu kwenda kunywa chai nyumbani

Ila Rais anatakiwa alale Ikulu walinzi wasipate usumbufu
Because his family house literally shares a wall with State House.

Obviously the colonialists in Tanzania took inspiration from Arab houses. Unfortunately Arab houses are not usually beautiful.
 
Gharama utaweza mzee baba[emoji3]
hivi kama nina hela, nikaamua kujenga nyumba yangu kwa kuiga mchoro wa ikulu, vipi, nitafuatiliwa na usalama wa taifa?
majibu tafadhali

kabla sijaanza kumwaga mchanga nakuchimba msingi kwaajili ya ujenzi
 
Kwahiyo hata breakfast hutembea kwa miguu kwenda kunywa chai nyumbani

Ila Rais anatakiwa alale Ikulu walinzi wasipate usumbufu

Sio lazima.
Motorcade ya Magufuli ndio inauwezo wa kuleta usumbufu.
Uhuru mara mingi utamuona mbele au nyuma yako, bila kelele mingi za magari ya askari.
 
Hivi unatumia vigezo gani kufananisha Ikulu yetu na msikiti au unajifurahisha tu
Vipi waingereza wakajenga jumba la kifahari Nairobi, na msikiti Dar? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Basi ni kweli wanavyosema. Kenya ilikuwa ndiyo crown jewel yao Africa.
 
Back
Top Bottom