Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Mkuu, tatizo watu wengi walio hamia Dom kutoka Dar... Nikama bado hawataki kuamini kwamba ndio tayari wamesha hamia, na kila lolote baya linapo jitokeza kwao kama changamoto basi wao kisingizio cha kwanza ni DodomaNatumia halotel na iko vizuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app