G.Jacob
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 3,618
- 3,478
Weeee hao halotel kwenye live streaming hapana umeongea uongo mkuu.Unakujua wewe ni mfanyakazi wa voda
Tigo ina 4G Dodoma na ndio wanaongoza kwa wateja wengi.
Halotel wana very strong 3G na hawana wateja hivyo hakuna congestion.
Mbona wenzio tunatumia Halotel na Tigo na tunaaghalia live stream za DStv artch2311
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nipo hapa Dar lakini network yao inanisumbua sana kuangalia mpira live na ninatumia line yao ya Royal.
Sent using mazonge yamezidi