Mbona internet ya Dodoma ni Vodacom tu?

Mbona internet ya Dodoma ni Vodacom tu?

Unakujua wewe ni mfanyakazi wa voda

Tigo ina 4G Dodoma na ndio wanaongoza kwa wateja wengi.

Halotel wana very strong 3G na hawana wateja hivyo hakuna congestion.

Mbona wenzio tunatumia Halotel na Tigo na tunaaghalia live stream za DStv artch2311

Sent using Jamii Forums mobile app
Weeee hao halotel kwenye live streaming hapana umeongea uongo mkuu.
Mi nipo hapa Dar lakini network yao inanisumbua sana kuangalia mpira live na ninatumia line yao ya Royal.

Sent using mazonge yamezidi
 
Unakujua wewe ni mfanyakazi wa voda

Tigo ina 4G Dodoma na ndio wanaongoza kwa wateja wengi.

Halotel wana very strong 3G na hawana wateja hivyo hakuna congestion.

Mbona wenzio tunatumia Halotel na Tigo na tunaaghalia live stream za DStv artch2311

Sent using Jamii Forums mobile app
Voda licha ukweli kwamba gharama zao ni kubwa ila kwenye ukweli tuseme tuu ..

Voda wako fasta sana kwenye internet katika mkoa wa Dodoma na sio mjini tuu bali hadi vijijini,

mi nina line ya tigo yenye Gb 10 lakini huwa hata siitumii nikiwa Dom maana inakwamakwama lakini voda haichagui pia nikiwa mkoa wowote Tz vodacom 4g inatenda haki kwa kasi ya ajabu japokuwa gharama ni kubwa sana Voda , wangerekebisha hapo wangekuwa hawashikiki.

Tigo wamewekeza nguvu zao Dar tuu, nje ya Dar tigo hamna kitu , ipo selective sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halotel ndo mtandao ambao unaweza kwenda hata vijijini na usikusumbue network sababu watumiaji ni wachache

Cc Nissan
 
Voda ni zaidi ya mashetani!Nina mpenzi wangu eneo alipo mitandao mingine ni shida so nikimnunulia bundle la 15000 hata wiki hamalizi!Wakati mimi natumia Halotel kwa wk ni 2000 tu tena nina enjoy kuperuzi internate vizuri mno
Mimi ni mgeni Dodoma. Kwenye mitandao natumia zaidi Halotel na Tigo kutokana na unafuu wa gharama.

Nilipofika hapa internet inasumbua mno kiasi kwamba siwezi kustream na kuangalia video kwenye internet, wakati mwingine hata kuingia JF natakiwa kusubiri muda kidogo.

Awali nilijua simu imeharibika nikawa nafikiria kuidispose kabla ya kupata wazo la kujaribu Vodacom. Vodacom wana 4G kama Tigo lakini wako faster mno.

Nimeumia sana kwa sababu mimi sio mpenzi wa Vodacom kutokana na gharama zao. Kwa kweli Vodacom natumia M-Pesa tu.

Halotel na Tigo rekebisheni mapungufu haya, mnatuumiza wateja wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Voda ni zaidi ya mashetani!Nina mpenzi wangu eneo alipo mitandao mingine ni shida so nikimnunulia bundle la 15000 hata wiki hamalizi!Wakati mimi natumia Halotel kwa wk ni 2000 tu tena nina enjoy kuperuzi internate vizuri mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana inaniuma sana. Hao jamaa wa voda ni majanga gharama zao sio za nchi hizi... Na kwa kweli kwa watu wengi tunatumia voda kwa sababu ya Mpesa wana network kubwa
 
Back
Top Bottom