Mbona kama Aziz Ki anaweweseka kukaa karibu na Hamisa?

Mbona kama Aziz Ki anaweweseka kukaa karibu na Hamisa?

Aaah namkumbuka bloo wangu mngoni enzi hizo,,,ushauri wake mdada akileta senema senema we tooo.......a tu......mengine watajua wenyewe...........we mani Azizi Ki we watoo.......e tu......kikubwa usigawe password yasije yakakukuta yale ya jamaa wa simba aliefariki kwa ajali
 
Aaah namkumbuka bloo wangu mngoni enzi hizo,,,ushauri wake mdada akileta senema senema we tooo.......a tu......mengine watajua wenyewe...........we mani Azizi Ki we watoo.......e tu......kikubwa usigawe password yasije yakakukuta yale ya jamaa wa simba aliefariki kwa ajali
Mafisango, Pale maeneo ya VETA
 
Hakuna kitu, mondi mwenyewe kala makombo ya majizo.

Kiufupi mondi hana demu yeyote classic aliyemzindua mwenyewe...kote kala makombo tu ya wahuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukweli kwa mfano Wema alianzia kwa kanumba, Jokate yeye Hasheem Thabit, Zari yeye alianzia kwa Ivan etc.
 
Oya nyie vijana wageni mnaotoka na wanawake classy embu acheni kuonesha mnaweweseka public.

Hapa Hamisa ana muinjoy tu Ki. Huyu Hamisa ana akili sana. Ampopoe tu.


View attachment 3059077
Hamisa ni mjasiliamali tu kama walivyo modemu wengi wa kibongo, anakinadi vizuri kipochi manyoya yake huku akipewa support na mama yake
 
Back
Top Bottom