mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
😄Si tuliambiwa aziz hapo ni "mlinda noma"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄Si tuliambiwa aziz hapo ni "mlinda noma"
😄Amejipiga siment ya hatari usoni. Sipati picha mvua ikimnyeshea
Kapigwa kipapai cha pwaniOya nyie vijana wageni mnaotoka na wanawake classy embu acheni kuonesha mnaweweseka public.
Hapa Hamisa ana muinjoy tu Ki. Huyu Hamisa ana akili sana. Ampopoe tu.
View attachment 3059077
Hahaaa.....kule kwao hawana Pwani eehKapigwa kipapai cha pwani
Kilichonichekesha jamaa hatulii...anaweweseka.Kila mtu aishi maisha yake...
Lindeni kipaji kisije sepa,wanawake wanaopenda attention ni wajinga sanaOya nyie vijana wageni mnaotoka na wanawake classy embu acheni kuonesha mnaweweseka public.
Hapa Hamisa ana muinjoy tu Ki. Huyu Hamisa ana akili sana. Ampopoe tu.
View attachment 3059077
Kilichonichekesha jamaa hatulii...anaweweseka.
Bwawa la stiglerAnaenda kufilisika.
Yan unaweweseka na hilo BWAWA...
[emoji706][emoji706][emoji706]
Ina maana watu wake wa karibu wameshindwa kabisa kumshauri auAnaenda kufilisika.
Yan unaweweseka na hilo BWAWA...
[emoji706][emoji706][emoji706]
Uwe karibu na huyo demu hivyo ushindwe kumtafuna? Labda ukatae mwenyewe tuWewe endelea kuwaza ngono wenzako wanatengeneza pesa.