Ssbabu lissu alikuwa na kidomokidomo sana kwamba yeye ni generalMbona wewe kila siku unaazisha nyuzi zaidi ya kumi kuihusu Chadema kwanini usiandike kuhusu ACT Wazalendo yako au CUF? Huoni kuwa unajipinga mwenyewe? Au na wewe ni mfu ndiyo maana unaandika habari za chama mfu? Tumia akili kufikiri badala ya kinyeo.
Active kwenye nini wakati mishahara inashindwa kulipatulia wewe, CHADEMA iko active
anawashwawashwa mshenzi huyo, kutwa kuiandika chadema vibayaKula yake inategemea kuikandia CHADEMA.
Anaiwaza CHADEMA, kuliko hata wana CHADEMA wenyewe.
Mshenzi tena? BAVICHA kweli kapu la matusi, Mbowe hatawasahau. Mimi kuandika vibaya chadema unakasirika wakati hata senti 1 huchangii chadema. Mbowe aliekuwa anatoa bilioni za shilingi mlimtukana mpaka akajishika kichwaanawashwawashwa mshenzi huyo, kutwa kuiandika chadema vibaya
Watu kama hao ukiwakuta mtaani ni CHADEMA damu na kutwa kumpiga madongo Samia. Ila humu wanakandia CHADEMA ili watoto waende chooni.anawashwawashwa mshenzi huyo, kutwa kuiandika chadema vibaya
Nikaepende chadema tena? Watu wa vurugu na fujo?Watu kama hao ukiwakuta mtaani ni CHADEMA damu na kutwa kumpiga madongo Samia. Ila humu wanakandia CHADEMA ili watoto waende chooni.
Huko kujua pesa utoe wapi wakati hiyo ni taasisi na siyo familia yako ndo kutokufaa kuwa kiongozi ilitakiwa chama kiwe na utaratibu usiomtegemea mtu mmojaMbowe Alikuwa anajua pesa atoe wapi za kulipa mishahara
Lisu hajui
Wakati wa Mbowe haikuwa shida kuwalipa
DooohWajifungie.halafu wale nini chama hakina hela
Lisu mwenyewe yuko.nje anazurura mahakamani kesi ya Slaa
Na wewe hutamsahau Lissu kwa kuyapiga knock out ma-ccm.Mbowe hatawasahau
tulia uone kwa machoActive kwenye nini wakati mishahara inashindwa kulipa
Active kwenye Mdomo wa Lisu au?
Kama timu ya soka inamfamdhili mkuu, seuze chama cha siasa? Ngojeni muone chama kinavyoenda kufa. Lissu kutoa shilingi yake kununua maji hatakiHuko kujua pesa utoe wapi wakati hiyo ni taasisi na siyo familia yako ndo kutokufaa kuwa kiongozi ilitakiwa chama kiwe na utaratibu usiomtegemea mtu mmoja
Lissu kafanyaje kwa ccm? Taja 1 tuNa wewe hutamsahau Lissu kwa kuyapiga knock out ma-ccm.
kaandike na kwingine, ya chadema hutayaweza utashindwa kama kawaida. Hebu tuliaMshenzi tena? BAVICHA kweli kapu la matusi, Mbowe hatawasahau. Mimi kuandika vibaya chadema unakasirika wakati hata senti 1 huchangii chadema. Mbowe aliekuwa anatoa bilioni za shilingi mlimtukana mpaka akajishika kichwa
Wewe ni CCM wa tumbo, CHADEMA wa nafsi.Nikaepende chadema tena? Watu wa vurugu na fujo?
Mbowe ni mwizi alitumia chama kujinufaisha kaondoka akiwa amekifilisiKama timu ya soka inamfamdhili mkuu, seuze chama cha siasa? Ngojeni muone chama kinavyoenda kufa. Lissu kutoa shilingi yake kununua maji hataki
ccm haikufa ndio chadema ife? Hebu tafuta mada za kuandika achana na kuikandia chadema utashindwa. Usiwe mtambo wa kufua upupu kwa chadema chama kikuu cha upinzani kinachojielewa na kujitambuaKama timu ya soka inamfamdhili mkuu, seuze chama cha siasa? Ngojeni muone chama kinavyoenda kufa. Lissu kutoa shilingi yake kununua maji hataki
Bila kujaza wasanii na bila kubeba watu kutoka vijijini, hamna mkutano wa CCM wenye mahudhirio.Chadema ilikuwa tishio enzi za Mbowe, sio hii