Mbona kama Sirro anai-provoke familia ya Hamza?

Mbona kama Sirro anai-provoke familia ya Hamza?

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
743
Reaction score
1,839
Nikifuatilia tukio la Hamza naona kama kamanda Sirro anatumia nguvu nyingi sana kuipakazia uovu familia ya Hamza.

Nakumbuka Bwana Zombe miaka ile nae alivyotaka kutuaminisha kuwa ameua majambazi kumbe ishu ilikuwa ni uporaji wa dhahabu za Mahenge.

Ni muafaka kwa Amir jeshi mkuu kuunda tume ya uchunguzi. Haki na ukweli huinua Taifa.
 
wewe ulitaka aprovoke familia ya wafiwa? haujui kama askari wake 3 wameuawa? yeye kama mkuu wa polisi amejeruhiwa sana na hilo ulitakiwa uanze na pole.
Sawa ila mleta mada anashangazwa na Sirro kuishambulia familia kama vile ilimtuma Hamza kwa niaba, pia yeye jukumu lake ni kufanya uchunguzi atupatie ukweli nini kilisababisha Hamza kuchukua hatua ile ilihali alikua kada wa chama tawala.
 
Sawa ila mleta mada anashangazwa na Sirro kuishambulia familia kama vile ilimtuma Hamza kwa niaba, pia yeye jukumu lake ni kufanya uchunguzi atupatie ukweli nini kilisababisha Hamza kuchukua hatua ile ilihali alikua kada wa chama tawala.
Hamza angekuwa ameua ndugu yako usingeanza na tantalila kama hizi, sasaivi ungekuwa umetandika turubai mnalia na usingefurahia post kama unazozileta hapa. nyau we.
 
Nikifuatilia tukio la Hamza naona kama kamanda Sirro anatumia nguvu nyingi sana kuipakazia uovu familia ya Hamza.

Nakumbuka Bwana Zombe miaka ile nae alivyotaka kutuaminisha kuwa ameua majambazi kumbe ishu ilikuwa ni uporaji wa dhahabu za mahenge.

Ni muafaka kwa Amir jeshi mkuu kuunda tume ya uchunguzi. Haki na ukweli huinua taifa
Sirro atatimuliwa siku yoyote na Mungu
 
Hiyo familia ilihangaika kumtafutia Magufuli kura
lakini ilifanya hivyo kinafiki, they should be deported back to somalia. mtoto kama yule anajua vile kushika silaha, wapi amejifunzia kama sio kwa magaidi wenzie? na alivyo na tumbo kubwa sijui alijaza nini tumboni mle, matakataka ya chooni tu. walilitwanga risasi likadondoka kama puto. alijiona mmbabe sana kumbe zero tu.
 
Hamza angekuwa ameua ndugu yako usingeanza na tantalila kama hizi, sasaivi ungekuwa umetandika turubai mnalia na usingefurahia post kama unazozileta hapa. nyau we.
Nani anafuraia binadamu kufa? Tunachoeleza wafanye uchunguzi waje na majibu ya nini kimetokea na hyo itasaidia kugundua kama wapo akina Hamza waliobaki huko uraiani kama mnaona mnapewa ushauri wa hovyo acheni.
 
Nikifuatilia tukio la Hamza naona kama kamanda Sirro anatumia nguvu nyingi sana kuipakazia uovu familia ya Hamza.

Nakumbuka Bwana Zombe miaka ile nae alivyotaka kutuaminisha kuwa ameua majambazi kumbe ishu ilikuwa ni uporaji wa dhahabu za mahenge.

Ni muafaka kwa Amir jeshi mkuu kuunda tume ya uchunguzi. Haki na ukweli huinua taifa
Sirro akili zimeshachoka, uwezo wa ku think straight like a sensible police officer umeshampotea.

Ipo siku atamjibu vibaya Samia mbele ya hadhara
 
Nikifuatilia tukio la Hamza naona kama kamanda Sirro anatumia nguvu nyingi sana kuipakazia uovu familia ya Hamza.

Nakumbuka Bwana Zombe miaka ile nae alivyotaka kutuaminisha kuwa ameua majambazi kumbe ishu ilikuwa ni uporaji wa dhahabu za mahenge.

Ni muafaka kwa Amir jeshi mkuu kuunda tume ya uchunguzi. Haki na ukweli huinua taifa
Anacho fanya siro kama ni hip-hop inaitwa rebattle.
Kama wananchi wananvyo ipprovoke Police na yeye anarudisha reaction kwa Hamza's family
 
Nani anafuraia binadamu kufa? Tunachoeleza wafanye uchunguzi waje na majibu ya nini kimetokea na hyo itasaidia kugundua kama wapo akina Hamza waliobaki huko uraiani kama mnaona mnapewa ushauri wa hovyo acheni.
Swala la Uhalifu au Ugaidi police pekee yao hawawezi bila ya sisi raia kuwapa ushirikiano wakuwapa taarifa za wahaalifu, maana wengi wao tunaishi nao mitaani mwetu!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Swala la Uhalifu au Ugaidi police pekee yao hawawezi bila ya sisi raia kuwapa ushirikiano wakuwapa taarifa za wahaalifu, maana wengi wao tunaishi nao mitaani mwetu!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
katika maisha yako yote, ni lini ulishawahi kuwapa tip polisi za uhalifu popote pale, acha wanaoshirikiana na polisi waongee nyie wanaume wa dar es salaam nyamazeni tu. sifuri nyie.
 
Nikifuatilia tukio la Hamza naona kama kamanda Sirro anatumia nguvu nyingi sana kuipakazia uovu familia ya Hamza.

Nakumbuka Bwana Zombe miaka ile nae alivyotaka kutuaminisha kuwa ameua majambazi kumbe ishu ilikuwa ni uporaji wa dhahabu za mahenge.

Ni muafaka kwa Amir jeshi mkuu kuunda tume ya uchunguzi. Haki na ukweli huinua taifa
Hamza angekuwa kijana wa hovyo angeua raia waliokuwa mbele yake.Watu walipata nafasi ya kumrekodi Bila wasiwasi means jamaa hakuwa na shida na raia
 
lakini ilifanya hivyo kinafiki, they should be deported back to somalia. mtoto kama yule anajua vile kushika silaha, wapi amejifunzia kama sio kwa magaidi wenzie? na alivyo na tumbo kubwa sijui alijaza nini tumboni mle, matakataka ya chooni tu. walilitwanga risasi likadondoka kama puto. alijiona mmbabe sana kumbe zero tu.
Cha kushangaza ni nin hapo? Mie baba yangu alikuwa anamiliki aina 5 za silaha na nilijifunza kutumia nikiwa kijana mdogo tu, hali kadhalika kwa Hamza sioni cha kushangaza alijifunzia wapi maana nature zetu zinatubeba.
 
Cha kushangaza ni nin hapo? Mie baba yangu alikuwa anamiliki aina 5 za silaha na nilijifunza kutumia nikiwa kijana mdogo tu, hali kadhalika kwa Hamza sioni cha kushangaza alijifunzia wapi maana nature zetu zinatubeba.
si unatoka familia ya majambazi. ni halali tu.
 
Back
Top Bottom