Mbona kama Sirro anai-provoke familia ya Hamza?

Mbona kama Sirro anai-provoke familia ya Hamza?

katika maisha yako yote, ni lini ulishawahi kuwapa tip polisi za uhalifu popote pale, acha wanaoshirikiana na polisi waongee nyie wanaume wa dar es salaam nyamazeni tu. sifuri nyie.
Sasa mbona umeaacha hoja ya Msingi,tena umekuja na Wanaume wa Dar!? Haya yote yanatokea wapi!? Au Wanaume wa Dar wamekufanya Nini!? Na tangu lini wwe nilishawai kupa physical address yangu hadi ukajua Mimi ni wa Dar!?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mzee kapaniki...

Nchi nyingine kwa tukio kaama lile, mkuu alitakiwa awe ashaachia manyanga maana intelijensia imeshindwa kazi...
 
Nikifuatilia tukio la Hamza naona kama kamanda Sirro anatumia nguvu nyingi sana kuipakazia uovu familia ya Hamza.

Nakumbuka Bwana Zombe miaka ile nae alivyotaka kutuaminisha kuwa ameua majambazi kumbe ishu ilikuwa ni uporaji wa dhahabu za mahenge.

Ni muafaka kwa Amir jeshi mkuu kuunda tume ya uchunguzi. Haki na ukweli huinua taifa
Kakosea sana
 
Nikifuatilia tukio la Hamza naona kama kamanda Sirro anatumia nguvu nyingi sana kuipakazia uovu familia ya Hamza.

Nakumbuka Bwana Zombe miaka ile nae alivyotaka kutuaminisha kuwa ameua majambazi kumbe ishu ilikuwa ni uporaji wa dhahabu za mahenge.

Ni muafaka kwa Amir jeshi mkuu kuunda tume ya uchunguzi. Haki na ukweli huinua taifa
Sirro atamaliza vibaya sana, kila dalili zinaonyesha, nilimpenda sana kwa weledi wake laki uovu na kiburi vimempenda zaidi.
 
si unatoka familia ya majambazi. ni halali tu.
Saa zingine waza nje ya box,unaambiwa ukweli unabisha! Mi niliaanza kujua gari tangu niko primary,na nilikua nafundishwa na baba yangu tangu niko mdogo! Leo hii wapo watu wazima hawajui hata kuendesha Baiskeli au gari! Mazingira yanachangia sana kwa Mambo mengi tu! Inategemea umezungukwa na vitu gani kwa wakati huo, na ndiyo vitakua vitu vya kwanza kujifunza!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sawa ila mleta mada anashangazwa na Sirro kuishambulia familia kama vile ilimtuma Hamza kwa niaba, pia yeye jukumu lake ni kufanya uchunguzi atupatie ukweli nini kilisababisha Hamza kuchukua hatua ile ilihali alikua kada wa chama tawala.
Katiba inasema mtu hatatuhumiwa kwa kosa la mtu mwingine wanasheria inasaidieni hii familia ,, wanapo sema kuwa ni wasomali si kweli wale ni watz Kama ni kuinyapaa ile family bas waanze na Bashe, Mo dewj na Bakhlesa maana Kama color ndo kigezo Basi hao nao sawa na Hamza aliyeua Mtu mmoja Na Wazurumati watatu.
 
wewe ulitaka aprovoke familia ya wafiwa? haujui kama askari wake 3 wameuawa? yeye kama mkuu wa polisi amejeruhiwa sana na hilo ulitakiwa uanze na pole.
Jeshi la polisi kujeruhiwa sana kumfanye siro awe rational vinginevyo atajeruhiwa tena na tena.
 
Sirro atamaliza vibaya sana, kila dalili zinaonyesha, nilimpenda sana kwa weledi wake laki uovu na kiburi vimempenda zaidi.
Siro alikuwa mweledi kabla hajawa igp, baadaye watawala walifanikiwa sana kumu attenuate.
 
Katika ma igp niliyopata kuwaona katika nchi yangu ,huyu Sasa anakosoro nyingi,hana weledi wowote.Rais huyo igp muda wake wa kustafu tayari umepita Ila mwendazake alimuongezea muda ili akamilishe wizi was kura 2020.huyu anapaswa kustafishwa kwa manufaa ya umma na kuweka taswira njema kwa jeshi letu.
 
lakini ilifanya hivyo kinafiki, they should be deported back to somalia. mtoto kama yule anajua vile kushika silaha, wapi amejifunzia kama sio kwa magaidi wenzie? na alivyo na tumbo kubwa sijui alijaza nini tumboni mle, matakataka ya chooni tu. walilitwanga risasi likadondoka kama puto. alijiona mmbabe sana kumbe zero tu.
Kutojua kushika au kutumia silaha kwa Karne hii huo ni uzembe wako mkubwa,unatakiwa uchapwe bakora usije ukatuaibisha kama wale maafande na bunduki yake anakimbilia baharini.

Ipo sku ukweli utadhihirika,na kukuacha mdomo wazi...
 
Nani anafuraia binadamu kufa? Tunachoeleza wafanye uchunguzi waje na majibu ya nini kimetokea na hyo itasaidia kugundua kama wapo akina Hamza waliobaki huko uraiani kama mnaona mnapewa ushauri wa hovyo acheni.

IMG-20210829-WA0001.jpg
 
Sijui vipapai vya akina Mshana Jr vimeenda "astray". Kwa sababu si kawaida ya mtu huyu.
 
Nikifuatilia tukio la Hamza naona kama kamanda Sirro anatumia nguvu nyingi sana kuipakazia uovu familia ya Hamza.

Nakumbuka Bwana Zombe miaka ile nae alivyotaka kutuaminisha kuwa ameua majambazi kumbe ishu ilikuwa ni uporaji wa dhahabu za Mahenge.

Ni muafaka kwa Amir jeshi mkuu kuunda tume ya uchunguzi. Haki na ukweli huinua Taifa.
Walimpeleka Misri kusomea dini. Una uhakija kama alikwenda kusomea dini hii ya kawaida tunayoijua sisi? Sirro msimbeze anazungumza vitu anavyovijua. Kama mzazi alimoeleka mtoto kusomea dini na akarudi wala hajautaka u Sheikh dini alisoma ya nini? Ni kweli hata upande wa pili wapo wanasoma dini na hawawi mapadre lakini dini ukasome Misri wakati hapa madrassa kibao?
 
Back
Top Bottom