Unauliza alikopatia mafunzo, hujui kuwa kabla ya kuwa mjumbe wa mkutano mkuu, aikuwa green guard?lakini ilifanya hivyo kinafiki, they should be deported back to somalia. mtoto kama yule anajua vile kushika silaha, wapi amejifunzia kama sio kwa magaidi wenzie? na alivyo na tumbo kubwa sijui alijaza nini tumboni mle, matakataka ya chooni tu. walilitwanga risasi likadondoka kama puto. alijiona mmbabe sana kumbe zero tu.
Wazazi msituzalie watoto wa aina hii ya Simon. Wasiojua hata kutofautisha picha zilizopigwa na YASHICA na zile zinazotokana na CCTV cameras.Umriii
Familia ya Hamza inahusika au inawajibikaje kwa aliyofanya Hamza ambaye ni mtu mzima?Wewe ulitaka aprovoke familia ya wafiwa? Haujui kama askari wake 3 wameuawa? Yeye kama mkuu wa polisi amejeruhiwa sana na hilo ulitakiwa uanze na pole.
Jihadist and terrorists at workKutojua kushika au kutumia silaha kwa Karne hii huo ni uzembe wako mkubwa,unatakiwa uchapwe bakora usije ukatuaibisha kama wale maafande na bunduki yake anakimbilia baharini.
Ipo sku ukweli utadhihirika,na kukuacha mdomo wazi...
Yani unataka amsifie gaidi?Inashangaza sana kumuona Sirro anaichamba maiti ya Hayati Hamza.
Anaisononesha familian ya Hayati Hamza.
Samia amsaidie Sirro kazi imemlemea, akiendelea kumuacha atazidi kuidhalilisha jamuhuri na ofisi ya rais.
Tanzania tumepoteza askari wetu wanne na hii imemdikitisha kila mtu. Swami ni he, familia ya hamza inahusika katika uovu wa hamza? Walimtuma? Hii ndiyo agenda ya mtoa mada. Tunakubali kuwa samaki mmoja akioza wore wameoza? Sidhani kama ni haki kuituhumu familia ya hamza. Uovu ni wa hamza peke yake.Wewe ulitaka aprovoke familia ya wafiwa? Haujui kama askari wake 3 wameuawa? Yeye kama mkuu wa polisi amejeruhiwa sana na hilo ulitakiwa uanze na pole.
Nayo iwe deported?Na CCM je?
Asimsifie bali afanye kazi zake kwa weledi na staha.Yani unataka amsifie gaidi?
Kwani ni wangapi wameuwawa kiuonevu na polisi nchi hii??Hamza angekuwa ameua ndugu yako usingeanza na tantalila kama hizi, sasaivi ungekuwa umetandika turubai mnalia na usingefurahia post kama unazozileta hapa. nyau we.
Si kweli, polisi wana intelijensia yao na kila siku huwa tunawasikia wakitoa makatazo mbalimbali ya makongamano, mikutano nk kwa sababu za kiitelijensia walizonazo.Swala la Uhalifu au Ugaidi police pekee yao hawawezi bila ya sisi raia kuwapa ushirikiano wakuwapa taarifa za wahaalifu, maana wengi wao tunaishi nao mitaani mwetu!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Tume ikiundwa ukweli utjulikana na hakutakuwa na issue yeyote kuhusu ugaidi.Nikifuatilia tukio la Hamza naona kama kamanda Sirro anatumia nguvu nyingi sana kuipakazia uovu familia ya Hamza.
Nakumbuka Bwana Zombe miaka ile nae alivyotaka kutuaminisha kuwa ameua majambazi kumbe ishu ilikuwa ni uporaji wa dhahabu za Mahenge.
Ni muafaka kwa Amir jeshi mkuu kuunda tume ya uchunguzi. Haki na ukweli huinua Taifa.
Ukisikia paaaah ujue imekupata alielenga ana shabaha wala hakufanya makosa....Jihadist and terrorists at work
kuna umuhimu mkubwa sana kufanya screening ya wasomali nchini. yawezekana wana uhusiano mkubwa na al shababu au isisFamilia ya Hamza inahusika au inawajibikaje kwa aliyofanya Hamza ambaye ni mtu mzima?
Hana ad......a.....bu huyu kijana.mfuasi wa Hamza bila shaka huyu!!Wewe ulitaka aprovoke familia ya wafiwa? Haujui kama askari wake 3 wameuawa? Yeye kama mkuu wa polisi amejeruhiwa sana na hilo ulitakiwa uanze na pole.
Kuhusu ubabe alikuwa mbabe kweli, alikuwa anatamba katikati ya barabara huku polisi wamejificha wanapiga risasi pembeni sasa hapo anaachaje kuwa mbabe?lakini ilifanya hivyo kinafiki, they should be deported back to somalia. mtoto kama yule anajua vile kushika silaha, wapi amejifunzia kama sio kwa magaidi wenzie? na alivyo na tumbo kubwa sijui alijaza nini tumboni mle, matakataka ya chooni tu. walilitwanga risasi likadondoka kama puto. alijiona mmbabe sana kumbe zero tu.
Hiyo haitosaidia kuzuia matukio kama hayo kuendelea kuja kutokea tena,kama chanzo cha Hamza kufikia kuchukua uamuzi ule ni kwa sababu ya uonevu wa polisi basi yapaswa polisi kujirekebisha hapo tutakuwa tumetibu tatizo.Kwanza hii familia inatakiwa ichunguzwe vizuri na kwa umakini,ikiwezekana warudishwe kwao samali land!
Ajabu walipokuwa wanampokea kama Mwanakada wao hawakuliona kosa la familia (Wazazi). Amekosea akiri tu amekosea pengine lilimtoka bahati mbaya kutokana na uchungu wa wale polisi wengine but hakuwa right kwa alichokisema.Unauliza alikopatia mafunzo, hujui kuwa kabla ya kuwa mjumbe wa mkutano mkuu, aikuwa green guard?