Mbona kama Sirro anai-provoke familia ya Hamza?

Kuwa na Staha,

Mama yako pekee ndio mtu anaeweza kuthibitisha kama Wewe ni mmoja wa Wanafamilia ya Hamza au laa

Pengine Baba yake Hamza alipita pita Umamani kwenu kwny harakati zao za kusaka madini
Lili gaidi kwa unyama lilifonya ni heri familia yake ingekuwa deported irudushwe Somalia
 
Na kina Ufo saro wapelekwe wapi wanaofungia Mabwana zao ndani na kwenda petrol station na kununua petrol na kuja kuchoma Nyumba alie ndani afe, si bora anaetumia bastola
Wale ni kuwanyima uraia wakauane huko kwao Somalia.

Hatuwezi kukaa na watu wa namna hiyo hapa nchini.
 
Nani anafuraia binadamu kufa? Tunachoeleza wafanye uchunguzi waje na majibu ya nini kimetokea na hyo itasaidia kugundua kama wapo akina Hamza waliobaki huko uraiani kama mnaona mnapewa ushauri wa hovyo acheni.

labda sirro anajua usiyoyajua kuihusu hiyo familia.

shahidi wa kwanza kabisa anasema jamaa alikwenda kusoma dini,lakini mara aliporudi akawa si mtu wa kawaida tena,na familia haikuwahi kutoa taarifa popote.
mavideo yake anarekodi silaha akiibusu ndio ukakasi unaanzia hapo.

yote kwa yote damu nzito kuliko maji,kumchoma ndugu yako kuna uzito sana.
walipo kwa sasa wamejaa simanzi,huku wakiugulia maumivu ya mwisho mmbovu wa ndugu yao.
 
Sababu ipo ndomaana kawahusisha wazazi...ila kama kawaida ya Watanzania,akiwahusisha wazazi,Hamza,ugaidi Na Dini Yao... waislam wote watalipuka hata kama Ni ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…