The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Nimekaa na kutafakari sana bila majibu, hasa kuhusiana na namna malalamiko yanazidi kuongezeka mitandaoni.
Ukiyasikiliza kwa makini hayo malalamiko lazima yakuchanganye. Wapo wanaoona Hali ni shwari na wanaona tunaelekea kuzuri.
Wengine wanaona tumepotea na tunazidi kupotea hivyo tunahitaji mwokozi haraka iwezekanavyo.
Kutofautiana kwa wanadamu wenye akili timamu ni jambo la kawaida, ila kinachonishtua kwa sasa huu mvurugano uko miongoni mwa makada wa vyama vyote vya siasa.
Wako CCM lakini pia wako wapinzani wanaofurahia na kuchekelea utawala huu lakini pia wako wasioridhika kabisa.
Ndipo likanijia swali:
Tatizo letu la msingi ni lipi!?
Ukiyasikiliza kwa makini hayo malalamiko lazima yakuchanganye. Wapo wanaoona Hali ni shwari na wanaona tunaelekea kuzuri.
Wengine wanaona tumepotea na tunazidi kupotea hivyo tunahitaji mwokozi haraka iwezekanavyo.
Kutofautiana kwa wanadamu wenye akili timamu ni jambo la kawaida, ila kinachonishtua kwa sasa huu mvurugano uko miongoni mwa makada wa vyama vyote vya siasa.
Wako CCM lakini pia wako wapinzani wanaofurahia na kuchekelea utawala huu lakini pia wako wasioridhika kabisa.
Ndipo likanijia swali:
Tatizo letu la msingi ni lipi!?