Mbona kwenye video za matukio ya ndoa ya Hamisa na Aziz Ki, Aziz Ki anaonekana kama zoba zoba fulani hivi kuliko akiwa uwanjani?

Mbona kwenye video za matukio ya ndoa ya Hamisa na Aziz Ki, Aziz Ki anaonekana kama zoba zoba fulani hivi kuliko akiwa uwanjani?

Wakuu,

Huyu mwenzetu asijekuwa amepigwa juju hajielewi, maana kwenye video zote namuona akiwa kama zoba fulani hivi, sio mwonekano wa Aziz Ki tuliemzoea, sura yake inaonesha uzoba grade A kabisa kwenye hili tukio zima.

Single mazas wengine na wanawake mliovuka 30s nendeni kwa hamisa awaambie mganga wake anapatikana wapi la sivyo MTAKULA MLIPOPELEKA BIKRA ZENU.

I mean no mallice to anybody.
wedding anxiety
 
Wakuu,

Huyu mwenzetu asijekuwa amepigwa juju hajielewi, maana kwenye video zote namuona akiwa kama zoba fulani hivi, sio mwonekano wa Aziz Ki tuliemzoea, sura yake inaonesha uzoba grade A kabisa kwenye hili tukio zima.

Single mazas wengine na wanawake mliovuka 30s nendeni kwa hamisa awaambie mganga wake anapatikana wapi la sivyo MTAKULA MLIPOPELEKA BIKRA ZENU.

I mean no mallice to anybody.
Ukiwa ughaibuni lazima uwe kamaa unatembea kwenye kamba
 
Lazima awe Zoba mzee mwanamke ili umfaidi vizuri jitie unyonge ili utie huruma. Zigo kama lile unapata wapi nguvu ya kuwa mbabe?!!
Zigo hatari full burudani mwanawane aziz anajienjoy tuu na mrembo.
Leo anakaribishwa hongera bby kwa ushindi huku hamisa anatikisa tako
 
Kama kweli mtu akikizungumzia wakati haupo huwa kinakukuta kikohozi basi huyu azizi hadi hali yake ni mbaya sana huko kwao.
 
ila mbona ndoa hii imewauma sana wanaume jamani, yani tumezoea wanawake ndo tunaoneana wivu.

Hili la hamisa wanaume mmeshindwa kujishikilia kabisa!
KHA!
Hakika hasa wale kataa ndoa na wale wasopenda dada zao single mamaz wameboeka mnoo
 
Wakuu,

Huyu mwenzetu asijekuwa amepigwa juju hajielewi, maana kwenye video zote namuona akiwa kama zoba fulani hivi, sio mwonekano wa Aziz Ki tuliemzoea, sura yake inaonesha uzoba grade A kabisa kwenye hili tukio zima.

Single mazas wengine na wanawake mliovuka 30s nendeni kwa hamisa awaambie mganga wake anapatikana wapi la sivyo MTAKULA MLIPOPELEKA BIKRA ZENU.

I mean no mallice to anybody.
Aziz Ki ni mlugaluga fulani hivi, hela zinasaidia kumficha
 
Back
Top Bottom