Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Hivii kweli kariako sokoni na fire makaoo makuu ni Kama km 3!!makao makuu haya fire hydrants kweli? Mpaka wafuate maji airport?
Ila wangesikia BAVICHA au mbowe wanafanya mikutano ya ndani wangekuja mpaka na vidumu vya maji ya washawasha!
Ifike pahala kuwe na uwajibashwajii wa uzembe Kama huo watu wanakwenda kuwa masikini wanaambiwa tumeqaletwa salami za poleh!! Pathetic
Ila wangesikia BAVICHA au mbowe wanafanya mikutano ya ndani wangekuja mpaka na vidumu vya maji ya washawasha!
Ifike pahala kuwe na uwajibashwajii wa uzembe Kama huo watu wanakwenda kuwa masikini wanaambiwa tumeqaletwa salami za poleh!! Pathetic