Duuuh hizo hisia zipo sana TU, lakini inatakiwa tuwe na namna ya kuzikontrol kwa kutokaaa peke yetu muda mwingi ni Bora kujichanganyaaa na watuKuna muda hua nawaelewa sana hao watu wanaofanya matukio kama hayo na wale wanaoua wapenzi wao, kuna wakati unajiona huna la kupoteza ngoja nilishe watu wali wa msiba tuu.
Tuwaombee vijana wengi wamemwacha BWANASasa sijui wanakuwa na shida Gani