Mbona Mbowe hayumo JF?

Mbona Mbowe hayumo JF?

Acha kiherehere unajuaje kama yupo au hayupo? kwani lazima ID yake isomeke MBOWE? Mbona Wassira hayupo JF?
Mbona Wassira yupo JF! Kwani hujawahi mshtukia anatumia ID gani?! Think aloud utamgundua..he is so close to you and this thread.
 
mkuu wa magamba tatizo la mbowe (na lema) ni shule. huwezi kumlinganisha na Zito au Slaa. Ndo maana hutamuona humu hata siku moja.
Yule ni mhamasishaji mzuri. lakini uelewa na leadership ni chaka la nguvu.
Nikisema mhamasishaji ni ngumu kunielewa kama hujawahi kuhudhuria kampeni zake. jaribu siku moja usiogope kwani magamba yako hayataonekana.

nadhani hili jibu linakaribiana na ukweli
 
Wenzake Slaa na Zitto huwa wanatumia muda wao kujadiliana hoja na wanaJF. Yeye vipi, mbona hayumo humu jamvini? Ni dharau au uelewa mdogo?
vp kikwete anatumia jina gani?
 
Unanijua mimi?

Kama usivyonijua huwezi kujua humu mtu, humu kila mtu anajijua mwenyewe
 
Mimi ndo Mbowe!!! sema unachotaka nikusaidie na njaa zako hizo!!!

##FREEROMA##
 
Back
Top Bottom