Madhara ya kumchukia jpm lazima uwe mpweke mbowe kaona bora kujirambia asali tu maana chadema imekufa baada ya kujaribu kupigana na marehemu ...sasa mbowe ameamini kuwa marehemu ana nguvu kuliko chadema na ccmKulingana na mfululizo wa matukio ya hivi karibuni yaliyotokea nchini, si kawaida kukuta kiongozi wa Chadema akikaa kimya kama ilivyo ada yake.
Duru mbalimbali zinasema kwamba Mbowe amesharamba asali tayari, ametulizwa. Hubu tusemeni jamani, ni kawaida ya mbowe hii kweli, hata tweet kweli? kweli?
Hapana kina honga ili waongeze nguvu kwa kujiunga na CCM ILI KUPIGANA VITA NA MAREHEMU ...MAREHEMU KAWASHIKA PABAYA ...MZIMU WA NYERERE ULIKUWA UMEKUFA ILA JPM NA KIFO CHAKE KIME UZINDUA HUO MZIMU NA MZIMU WA JPM HIVYO CHADEMA WAMEKUBALIANA NA MAMA KUWA VITA NI NGUMU NA ADUI WAO NI ...MZIMU WA NYERERE NA JPM..sasa wameungana kupigana na hiyo mizimu miwili...sijui kama mmenielewaKwa hiyo unakiri ni kweli chama chako cha CCM kinahonga wapinzani ili wasikikosoe?
Huo mzimu wa JPM hatari yake ni nini hadi waungane?Hapana kina honga ili waongeze nguvu kwa kujiunga na CCM ILI KUPIGANA VITA NA MAREHEMU ...MAREHEMU KAWASHIKA PABAYA ...MZIMU WA NYERERE ULIKUWA UMEKUFA ILA JPM NA KIFO CHAKE KIME UZINDUA HUO MZIMU NA MZIMU WA JPM HIVYO CHADEMA WAMEKUBALIANA NA MAMA KUWA VITA NI NGUMU NA ADUI WAO NI ...MZIMU WA NYERERE NA JPM..sasa wameungana kupigana na hiyo mizimu miwili...sijui kama mmenielewa
Hatari yake kawaulize wabunge wa ccm wanapo fanya mkutano na watu 10 tu ..pia muulize beberu na chanjo zake alizo leta kwa mgongo wa Zelensky sa100 ...pia muulize Jakaya kwanini anaishi kama digi digi ...mitaa wanayo ishi hata bodaboda azitakiwi kupitaHuo mzimu wa JPM hatari yake ni nini hadi waungane?
Zaidi ya yote 2025 Mbowe atatangazia umma wa Watanzania kususia uchaguzi mkuu kwa sababu hakuna tume huru na Katiba mpya. Mtaelewa tu.Kulingana na mfululizo wa matukio ya hivi karibuni yaliyotokea nchini, si kawaida kukuta kiongozi wa Chadema akikaa kimya kama ilivyo ada yake.
Duru mbalimbali zinasema kwamba Mbowe amesharamba asali tayari, ametulizwa. Hubu tusemeni jamani, ni kawaida ya mbowe hii kweli, hata tweet kweli? kweli?
Wewe unasema kitu nakuuliza unasema nikawaulize tena?Hatari yake kawaulize wabunge wa ccm wanapo fanya mkutano na watu 10 tu ..pia muulize beberu na chanjo zake alizo leta kwa mgongo wa Zelensky sa100 ...pia muulize Jakaya kwanini anaishi kama digi digi ...mitaa wanayo ishi hata bodaboda azitakiwi kupita
Chadema ishauzwa tena teyari keshafika bei kama kipindi kile cha kumpokea mamvi meupe.
#MaendeleoHayanaChama
Mwacheni apumzike. Alishakaa Mahabusu kwa muda mrefu na anaogopa kesi ya ugaidi ikifunguiliwa tena. Unajua DPP alisema hana interest ya kuendelea na kesi hiyo kwa wakati ule, lakini haina maana kua alifuta kesi. DPP akiamua anaweza kuliamsha tena.
Madhara ya kumchukia jpm lazima uwe mpweke mbowe kaona bora kujirambia asali tu maana chadema imekufa baada ya kujaribu kupigana na marehemu ...sasa mbowe ameamini kuwa marehemu ana nguvu kuliko chadema na ccm
Kuna ugumu gani iwapo DPP atataka kufungua kesi upya!Acha uongo, tofautisha nolle prosequi na trial de Novo. Nolle prosequi inatolewa Mara moja. Kama DPP anataka kufungua kesi anaanza upya. Kwa kuomba kibali mahakamani.
Madhara ya kumchukia jpm lazima uwe mpweke mbowe kaona bora kujirambia asali tu maana chadema imekufa baada ya kujaribu kupigana na marehemu ...sasa mbowe ameamini kuwa marehemu ana nguvu kuliko chadema na ccm
ππππMbona nilimuona Jumapili akiimba kanisani, hapo ukimya uko wapi?
Mbona nilimuona Jumapili akiimba kanisani, hapo ukimya uko wapi?
Tena ile asali ya nyuki wadogo ni tamu zaidi ukiwa unalamba uko uraiani baada ya kuachiwa toka korokoroni hutakiwi kupayuka!!Asali mbichi ni hatari sana
Msome hapaKulingana na mfululizo wa matukio ya hivi karibuni yaliyotokea nchini, si kawaida kukuta kiongozi wa Chadema akikaa kimya kama ilivyo ada yake.
Duru mbalimbali zinasema kwamba Mbowe amesharamba asali tayari, ametulizwa. Hubu tusemeni jamani, ni kawaida ya mbowe hii kweli, hata tweet kweli? kweli?
Hapana kina honga ili waongeze nguvu kwa kujiunga na CCM ILI KUPIGANA VITA NA MAREHEMU ...MAREHEMU KAWASHIKA PABAYA ...MZIMU WA NYERERE ULIKUWA UMEKUFA ILA JPM NA KIFO CHAKE KIME UZINDUA HUO MZIMU NA MZIMU WA JPM HIVYO CHADEMA WAMEKUBALIANA NA MAMA KUWA VITA NI NGUMU NA ADUI WAO NI ...MZIMU WA NYERERE NA JPM..sasa wameungana kupigana na hiyo mizimu miwili...sijui kama mmenielewa
Msome hapaView attachment 2281757
tena ile asali ya nyuki wadogo ni tamu zaidi ukiwa unalamba uko uraiani baada ya kuachiwa toka korokoroni hutakiwi kupayuka!!
Kuna ugumu gani iwapo DPP atataka kufungua kesi upya!
Hatari yake kawaulize wabunge wa ccm wanapo fanya mkutano na watu 10 tu ..pia muulize beberu na chanjo zake alizo leta kwa mgongo wa Zelensky sa100 ...pia muulize Jakaya kwanini anaishi kama digi digi ...mitaa wanayo ishi hata bodaboda azitakiwi kupita