Mbona Mbowe yuko kimya, ni kawaida yake?

Mbona Mbowe yuko kimya, ni kawaida yake?

Ukisikia kizabizabina ndio hiki. Unasema kuna matukio yametokea nchini lakini huyataji ili tuone kama yanakidhi kuitwa matukio yanayotaka Mbowe azungumze. Ukapaacha hapo!!

Ukarukia "duru" zinasema ....... na hata usitaje duru hizo ni zipi. Duru huwa si mawazo binafsi, ni vyombo vya habari kama magazeti, redio, televisheni, intaneti na wasemaji.

Jielekeze zaidi kwenye chuki yako - muulize tu Mbowe swali ambalo litaonesha amelambishwa asali kwa jinsi akavojibu. Hiyo ndio njia sasa na nia safi!!
 
Kulingana na mfululizo wa matukio ya hivi karibuni yaliyotokea nchini, si kawaida kukuta kiongozi wa Chadema akikaa kimya kama ilivyo ada yake.

Duru mbalimbali zinasema kwamba Mbowe amesharamba asali tayari, ametulizwa. Hubu tusemeni jamani, ni kawaida ya mbowe hii kweli, hata tweet kweli? kweli?
Wakati wa majadiliano ni muhimu kujihadhari na matamshi ya kila mara bila vikao halali vya chama. Mbowe anataka achosema kiwe ni msimamo wa vikao vya chama ili kutoruhusu mgawanyiko wakati huu wa "toa nikupe" au kutoruhusu hisia kuwa chama ni mali ya mtu.
 
Asali ya Zanzibar ya Nyuki wadogo ni Hatari Sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndio kilichobakia, roho zinawauma kuona Mbowe na CHADEMA wapo kwenye meza ya mazungumzo. Siku taarifa ya makubaliano itakapotoka wengi mtakimbia au kujificha.
 
Aseme nini tena...wakati anasubiri Safari nyingine Ikulu?
Achana Na Kitu inaitwa Asali ni kitamu Sana...!
Hata ukimusema, Mbowe kama M/kiti wa chama hawezi kuondolewa. Mutabaki kusemea tu pembeni kwenye vikao hakuna mwenye uwezo wakuzungumza jambo la kubadirisha M/kiti wa chama . Period.
 
Wewe unasema kitu nakuuliza unasema nikawaulize tena?
Hao wabunge hata kama wasipofanya mkutano kabisa mtawafanya nini?
Mbona tutafurahi sana wakiacha kufanya mikutano..maana wanatuletea mafiii tu
 
JPM ndio alikuwa na haki ya kuchukia watu? Halafu JPM mwenyewe alikuwa hataki upinzani ndio maana risasi na kutekana kulishamiri. Kazuia mikutano ya siasa.

Kiboko ya JPM alikuwa Lissu. Kamtwanga risasi Lissu Lissu kapona, kaja akamuibia kura Wala hakudumu kwenye urais hata miezi minne hakumaliza.
Sisi tulikuwa tunateka na kuua na kuwafumba midomo maadui wa uzalendo sasa hivi sa100 anateka na kuua na kuwafunga midomo wazalendo ...sasa huoni tofauti hapo
 
Wabunge wenyewe wameingia kwa wizi wa kura kumfurahisha Magufuli. Wananchi wamewakataa wabunge wa Magufuli.
Jidanganye wabunge walichaguliwa na wananchi kwa sababu ya kukubalika kwa jpm mzalendo no1
 
kwani lazima Mbowe aongee?

chama kimeshatoa nsimamo

busara lazima itumike kulinda Maridhiano

hamkumbuki kina Maalim Seif baada ya maridhiano walianza hata kuhudhuria Sherehe za Mapinduzi Matukufu zilizohitimisha Tawala na maisha ya Babu zao



kuna majimbo 'tumekubaliana tayari na ndio sababu 'NURU NA BASHASHA' za Heche na Mchungaji Msigwa zimerudi
Wamekubaliana hewa!hata mama hana uhakika wa UCHAGUZI 2025!!Dola inataka katiba MPYA ndio maagizo aliyopewa Sasa mwacheni ajishebedue aje aone kama State Huwa ina bagazwa!!!
 
Ndio maana Magufuli alikuwa anawavunja miguu hawa machoko hawa hadi wanakimbia nchi. Sasa hivi wamepiga kimya kwasababu ulaji wao umerudi.

Hakuna wapinzani wakweli Tanzania. Upinzani wa kweli utatoka kwa wananchi wenyewe watakapoitoa madarakani fuasi yote ya wala hongo na wachumia tumbo.
 
kwani lazima Mbowe aongee?

chama kimeshatoa nsimamo

busara lazima itumike kulinda Maridhiano

hamkumbuki kina Maalim Seif baada ya maridhiano walianza hata kuhudhuria Sherehe za Mapinduzi Matukufu zilizohitimisha Tawala na maisha ya Babu zao



kuna majimbo 'tumekubaliana tayari na ndio sababu 'NURU NA BASHASHA' za Heche na Mchungaji Msigwa zimerudi
Achà kuandika utoto
 
Kulingana na mfululizo wa matukio ya hivi karibuni yaliyotokea nchini, si kawaida kukuta kiongozi wa Chadema akikaa kimya kama ilivyo ada yake.

Duru mbalimbali zinasema kwamba Mbowe amesharamba asali tayari, ametulizwa. Hubu tusemeni jamani, ni kawaida ya mbowe hii kweli, hata tweet kweli? kweli?
Mbowe wanasubiria Kikosi Kazi kije na hoja ambazo zina nguvu ili zijibiwe kwa hoja.
Kwani kwa sasa hivi ndo saizi yake na kumbuka chama change Ccm kimeshakubali swala la katiba mpya .
Kwa hiyo Chadema tayari hitaji lao limeshaanza kupata maji bado kwa upande wa Kikosi Kazi tu.
Kikija na hoja mbaya tutamsikia Mbowe pamoja na Chama chao.
Kukaa kimya ukiwa unasubiria Mitego uliyoitega ni Akili pia kwani moja ya afya ya Siasa
 
Kulingana na mfululizo wa matukio ya hivi karibuni yaliyotokea nchini, si kawaida kukuta kiongozi wa Chadema akikaa kimya kama ilivyo ada yake.

Duru mbalimbali zinasema kwamba Mbowe amesharamba asali tayari, ametulizwa. Hubu tusemeni jamani, ni kawaida ya mbowe hii kweli, hata tweet kweli? kweli?
Je kwa mamako anahudhuria kama siku za nyuma?au amepunguza kidogo? Tujulishe please
 
kwani lazima Mbowe aongee?

chama kimeshatoa nsimamo

busara lazima itumike kulinda Maridhiano

hamkumbuki kina Maalim Seif baada ya maridhiano walianza hata kuhudhuria Sherehe za Mapinduzi Matukufu zilizohitimisha Tawala na maisha ya Babu zao



kuna majimbo 'tumekubaliana tayari na ndio sababu 'NURU NA BASHASHA' za Heche na Mchungaji Msigwa zimerudi
Kwa hiyo mnagawana Majimbo? Hii ni hatari kwa afya ya Tanzania maana haina utofauti na Viti Maalum
 
Back
Top Bottom