Si ndio fasheni ya kina dada wengi wa siku hizi! Wanasema kizuri kula na nduguyo, kibaya mtupie mbwa! 🙂
Masakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
ah ah ah hiyo ni methali mpya au?
HUYU FISRT LADY WA Swaziland
kwenye casual events kama kwenye bembea jamaica alivaa nguo za kitenge ambazo ni official wears.. Angejiweka ki bembea zaidi.
Uzuri wa sura anao..ila pamba akajifunze kwa michelle obama
Real african first lady. Wa mwonekano huu lazima umheshimu tu-sister au mama mchungaji kutoka Mbeya!!!!
si kama huyo wa kitwanga pepete pepeta
Ndugu, usije ukawa unamuonea bure, kwani alipata taarifa mapema kama kuna kwenda kubembea? Labda angejiandaa kibembea bembea. Labda bi Salma anavaa anavyovaa kutegemea na culture (kuna aspects nyingi hapa) yake, kwa hiyo akitoka ki-Michelle itakuwa mtafaruku!
I said sijui ni wangapi but she is recognized as first lady
huyo aliyelala nae usiku huo ndo huwa first lady wa siku! Kama hiyo picha uliipata jana basi leo kuna first lady mwingine!!
mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
haiwezekana akawa amezaliwa mwaka 71 mbona kazeeka mapema kiivyo?
Umechemsha!! Huyu ni tenth Lady wa Swaziland
hapa lazima wamsaidie kudadadeki!~huyu naye ni queen mswati. Kajamaa kako fiti kwa kujua kuchagua.