kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,695
- 2,144
Habari za weekend
Kuna mawazo yamenijia kichwani na nimeona niwashirikishe wadau. Ktk sekta ya burdani, kuna baadhi ya mikoa hapa tz sijasikia ikitoa mwanamuziki hata mmoja kulikoni?
Kwa mfano, ukiangalia miaka kumi iliyopita, kuanzia mwaka 2005 hadi 2008 naona tanga walifunika kwakua na vijana wanao ng'aa ktk muziki, vijana hao kama, Sumalee, MB dog, matonya, marehem sharo milionea, Na kadhalika, 2008 hadi leo, naona mkoa wa kigoma unaongoza gurudumu.
Ukiwa na vijana wake namba mmoja nchini, Ali kiba na Naseebu Abdul, ktk kipindi chote hicho ipo na mikoa mingine ikitoa msanii mmoja mmoja, au wawili, mfano kama mbeya, kuna akina izzo business, Raymond, na sugu, mkoa kama Arusha kuna akina John makini, na wenzie, mkoa kama mtwara, kuna Pasha, harmonize, nk.
Lakini kuna mikoa sijasikia kabisa ikitoa msanii hata mmoja, mfano kama mkoa wa Rukwa, mkoa kama Manyara, mkoa kama Lindi, mkoa kama singida, Mkoa kama shinyanga, sasa najiuliza, ina maana, ktk watu wote wa huko hakuna kijana hata mmoja mwenye kipaji cha kuweza kutoboa ki taifa?
Au wapo mimi siwajui? Ni nani kwa mfano?
Kuna mawazo yamenijia kichwani na nimeona niwashirikishe wadau. Ktk sekta ya burdani, kuna baadhi ya mikoa hapa tz sijasikia ikitoa mwanamuziki hata mmoja kulikoni?
Kwa mfano, ukiangalia miaka kumi iliyopita, kuanzia mwaka 2005 hadi 2008 naona tanga walifunika kwakua na vijana wanao ng'aa ktk muziki, vijana hao kama, Sumalee, MB dog, matonya, marehem sharo milionea, Na kadhalika, 2008 hadi leo, naona mkoa wa kigoma unaongoza gurudumu.
Ukiwa na vijana wake namba mmoja nchini, Ali kiba na Naseebu Abdul, ktk kipindi chote hicho ipo na mikoa mingine ikitoa msanii mmoja mmoja, au wawili, mfano kama mbeya, kuna akina izzo business, Raymond, na sugu, mkoa kama Arusha kuna akina John makini, na wenzie, mkoa kama mtwara, kuna Pasha, harmonize, nk.
Lakini kuna mikoa sijasikia kabisa ikitoa msanii hata mmoja, mfano kama mkoa wa Rukwa, mkoa kama Manyara, mkoa kama Lindi, mkoa kama singida, Mkoa kama shinyanga, sasa najiuliza, ina maana, ktk watu wote wa huko hakuna kijana hata mmoja mwenye kipaji cha kuweza kutoboa ki taifa?
Au wapo mimi siwajui? Ni nani kwa mfano?