Mbona mikoa mingine haitoi wasanii kwenye tasnia ya burudani?

Mbona mikoa mingine haitoi wasanii kwenye tasnia ya burudani?

Hivi na yule aliyetoka mitaa yenu kdc kiboroloni kapotea wapi.yule aliimba"shirima alikuepo .masawe alikuepo ,Kimaro alikuepo,kavishe alikuepo.tulikunywa tulikunywa tulikunywa.tukalewa tukalewa tukalewa.
Kiboroloni sio Rombo mkuu
 
Mkuu sijui nichangie vipi ila hakuna mikoa iliyotoa wasanii wa vigodoro kama Dar na Moro.

Hakuna mikoa iliyotoa viongoz kama Mbeya,Kagera ,Kilimanjaro na Mwanza.

Hakuna media iliyotoa changamoto kwa serikali kama JF.

Hakuna mwana JF anayevuma kama BINJO hah hah hah hah wacha nisubirie povu.
 
Jay Moe, Juma nature, Jafaray, TID, KR Mullah, Inspector Haruni, Pasha, Isabela Mpanda hao wote wana asili ya Lindi au Mtwara
TID sio Zenji kweli mkuu au kachanganya na huko pia?!

Halafu ktk list ya wa kusini nackia na Juma Jux nae yupo cna uhakika lkn...ila hao wote washakuwa wa darusalaam,uko makwao inabaki asili tu
 
Janjarooooo Ngarenaroooo,John makini mwamba Wa kaskazi Darajambili ngalelo.....nawakubali sana kukubali na kutukuza nyumbani...
 
Hivi wasanii wanaotokea kigoma ndo wapi hao kina diamond,Alikiba,Abdu kiba,Recho,Banana Zorro,Qeen Darline etc waliozaliwa na kukulia Dar? Mbona km ndo hivyo basi young D atakuwa wa Mbeya.Joh Makin & Nikki 2,Aika,Ney wa mitego Kilimanjaro.Jokate Songea.Darasa Tabora kama ndo hivyo kila mkoa una wasanii km issue ni asili
Mkuu hebu nifahanishe kidgo hapo...young d asili yake Ni mbeya kweli?
 
Mkuu sijui nichangie vipi ila hakuna mikoa iliyotoa wasanii wa vigodoro kama Dar na Moro.

Hakuna mikoa iliyotoa viongoz kama Mbeya,Kagera ,Kilimanjaro na Mwanza.

Hakuna media iliyotoa changamoto kwa serikali kama JF.

Hakuna mwana JF anayevuma kama BINJO hah hah hah hah wacha nisubirie povu.
Hiyo mikoa uliyoitaja hapo haijawai kutoa Rais
 
TID sio Zenji kweli mkuu au kachanganya na huko pia?!

Halafu ktk list ya wa kusini nackia na Juma Jux nae yupo cna uhakika lkn...ila hao wote washakuwa wa darusalaam,uko makwao inabaki asili tu
TID hana uzanzibar chinga lile na Jux nilishasikia vile vile
 
Ney Wa Mitego= Kilimanjaro
Vanesa Mdee= Kilimanjaro
Mr. Nice= Kilimanjaro
Rich Mavoko= Kilimanjaro
Mhe. Temba= Kilimanjaro
Joh Makini= Kilimanjaro
Niki Mbiishi= Kilimanjaro
Snura Mushi= Kilimanjaro
Jacob Steven= Kilimanjaro
Kishoka= Kilimanjaro.
 
Back
Top Bottom