Hussein machozi singidaKwakuchukulia muktadha huo huo, ni yupi wa mkoa wa Rukwa? Ni yupi wa mkoa wa Manyara? Ni yupi wa mkoa wa Singida?
Komando hamza kalala rukwa&katavi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hussein machozi singidaKwakuchukulia muktadha huo huo, ni yupi wa mkoa wa Rukwa? Ni yupi wa mkoa wa Manyara? Ni yupi wa mkoa wa Singida?
Mavoko ni wa Moro town mkuu,au upande mmoja ni wa kilimanjaro?Ney Wa Mitego= Kilimanjaro
Vanesa Mdee= Kilimanjaro
Mr. Nice= Kilimanjaro
Rich Mavoko= Kilimanjaro
Mhe. Temba= Kilimanjaro
Joh Makini= Kilimanjaro
Niki Mbiishi= Kilimanjaro
Snura Mushi= Kilimanjaro
Jacob Steven= Kilimanjaro
Kishoka= Kilimanjaro.
mh,mkuu na vipi kuhusu ule wimbo wake wa "Siamini" ambapo anajinadi kuwa anatoka Zanzibar lkn pia kweny ule wimbo wa "Mahaba ya Dhati" ambapo kuna mstari anasema "uje nikupe mapenzi ya kwetu Pembaa"TID hana uzanzibar chinga lile na Jux nilishasikia vile vile
HuendaMavoko ni wa Moro town mkuu,au upande mmoja ni wa kilimanjaro?
Mavoko - MoroNey Wa Mitego= Kilimanjaro
Vanesa Mdee= Kilimanjaro
Mr. Nice= Kilimanjaro
Rich Mavoko= Kilimanjaro
Mhe. Temba= Kilimanjaro
Joh Makini= Kilimanjaro
Niki Mbiishi= Kilimanjaro
Snura Mushi= Kilimanjaro
Jacob Steven= Kilimanjaro
Kishoka= Kilimanjaro.
Na studio yake kaiita Mwanalizombe.Apana asili yake Songea.kua .mbunge wa mikumi haimaanishi ndo asili yake.angalia jina tu Joseph haule
Young D wa KAJUNJUMELE KYELA MBEYA ILA AMEKULIA DARHivi wasanii wanaotokea kigoma ndo wapi hao kina diamond,Alikiba,Abdu kiba,Recho,Banana Zorro,Qeen Darline etc waliozaliwa na kukulia Dar? Mbona km ndo hivyo basi young D atakuwa wa Mbeya.Joh Makin & Nikki 2,Aika,Ney wa mitego Kilimanjaro.Jokate Songea.Darasa Tabora kama ndo hivyo kila mkoa una wasanii km issue ni asili
Marrow Aliyeimba ''Bembeleza'' na Mike T Aliyeimba '' Mike T Ningekuwa Star'' huwatambui?Iringa ina msanii kweli
Duh ndio watu gani hao mkuu au ndio wasiojulikana wameanza kujulikana? usilete wale wa HAwavumi lakini wapo?Kamikaze Cyril=Singida
Best Nasso=Musoma town
Chief Maker=Rukwa
Hivi na yule aliyetoka mitaa yenu kdc kiboroloni kapotea wapi.yule aliimba"shirima alikuepo .masawe alikuepo ,Kimaro alikuepo,kavishe alikuepo.tulikunywa tulikunywa tulikunywa.tukalewa tukalewa tukalewa.
Kama ilivyo kwa mchaga mkuu.....Muhaya raisi haitatokea milele
Du know fundamental details about origin of ur president?Muhaya raisi haitatokea milele
ongezea na hawaMarrow Aliyeimba ''Bembeleza'' na Mike T Aliyeimba '' Mike T Ningekuwa Star'' huwatambui?
Na Tancut Almas ulishawahi isikia hiyo Band ya Iringa...
Wasanii wapo kila Mkoa naona Dhambi ya Ubaguzi inashika kasi.
mmh,mkuu hapo kidogo lbd kwa huyo chief maker,bt best nasso na kamikaze mbona wanajulikana kimtindo japo suala la nyota ndo limewatupa kdg!Duh ndio watu gani hao mkuu au ndio wasiojulikana wameanza kujulikana? usilete wale wa HAwavumi lakini wapo?