lina sanga huyo sio Iringa ni wa kutoka mkoa mpya wa Njombeongezea na hawa
1)Beka zebrone(cjui kama nimepatia)ila ni yule aliyeimba Natumaini Rmx
2)Estellina Sanga aka Linnah Sanga
Singida ni Wema SepetuKwakuchukulia muktadha huo huo, ni yupi wa mkoa wa Rukwa? Ni yupi wa mkoa wa Manyara? Ni yupi wa mkoa wa Singida?
Magufuli ni katto muhayaMuhaya raisi haitatokea milele
Wema sepetu singida ni ujombani.Singida ni Wema Sepetu
Nakazia SINGIDA KunaDogo janja ni muiraq hivyo ni manyara.Hussein machozi,Songa singida
Additionsingida Cyril kamikaze