Mbona Mzee wa Komesho(AY) hakumualika Crazy GK kwenye harusi yake?

Hatahivyo uwezo wa GK katika utungaji wa mashairi na uchanaji uko juu sana kwa kulinganisha na hao matoz 2 wanaishi kwa maigizo.
Mkuu kwenye mashairi na kutunga hamna anayenkuta mwana FA,GK na kigugumizi chake hamna kitu,halafu maproducer wachache sana walioweza kumrekodia kutoka na na kigugumizi,P-Funk pekee ndo alikuwa anaweza,ndo maana pfunk alipoyumba kwenye uproducer Gk naye akapotea
 
Ametumia ule msemo wa BE DIFFERENT tusimpangie cha kuvaa kwani suti hana au hajui zinakopatikana? Ni mtu mzma labda kutokana na mishemishe zake aliona angechelewa kufika akaona mwana asiponiona atamaind ngoja nizame ki GK GK tu mbna Fresh
 
mkuu unajua sana kuwasoma watu
 
Sasa huo Ni ufala au ueled, mtu had kusajili kampun unamwita fala
Chuki hazna maana hiz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…