BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Tatizo hilo jamaa lingeenda na mikofia yake hapo, sijui ni ushamba gani ule???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GK anapesa kuliko ukoo wenu woteAnahela? Ndege wafananao....
Huyu jamaa kunakitu hakipo sawa![]()
Mtoa post unaonekana ww ni mtu usiejulikana
Acheni Uzushi.
Mkuu kwenye mashairi na kutunga hamna anayenkuta mwana FA,GK na kigugumizi chake hamna kitu,halafu maproducer wachache sana walioweza kumrekodia kutoka na na kigugumizi,P-Funk pekee ndo alikuwa anaweza,ndo maana pfunk alipoyumba kwenye uproducer Gk naye akapoteaHatahivyo uwezo wa GK katika utungaji wa mashairi na uchanaji uko juu sana kwa kulinganisha na hao matoz 2 wanaishi kwa maigizo.
Nilikua naitafuta hii comment yako baada ya kuona picha yke akiwa amevaa kofia kwenye hiyo harus hahahaaa jamaa umetisha sana umeotea.Labda Bange pia angeenda kavaa kofia
itakua jamaa anaumwa apo alijilazimisha kwenda tu kumpa shavu mshikajiIla GK kachoka sana sijui ni drugs user?
Mzuqa SIZONJE's slaves!
Kwani crazy GK aliwakosea nini AY na Mwana FA? Walikuaga Benet Sana. Hata kwenye harusi wamemtenga.
alafu msomi sasa duh,nahisi alitokea hospital moja kwa moja mpaka kwenye harusi hahaTatizo hilo jamaa lingeenda na mikofia yake hapo, sijui ni ushamba gani ule???
Gk yani habadiliki usela mwingi kwenye harusi ameenda kavaa kofia na sweats duuuh!!!![]()
Walionyuma kushoto aliyevaa kofia. Au macho yangu mabovu.?
Nakushukuru kwa kuhitimisha huu mjadalaAcheni Uzushi.
mkuu unajua sana kuwasoma watuYupo wapi sasa huyo GK? Halafu uwe unapunguza masikhara, maana katika wale vijana kila mtu alikua na style yake na kila mtu alikua anajitungia mashairi ya sehemu yake.
Gwamaka Kalihura a.k.a GK alikua na style yake iliyokua ina ficha na kubalance hali yake ya kigugumizi, pia iliyokua ina akisi mitazamo yake ya kupenda ugomvi na ubabe na matusi mengi. Hata majina aliyojiita yalionyesha ni mtu wa aina gani au aliyependa hali gani au aliyependa kuonekanaje. Ndiyo maa akawa anajiita King Crazy GK, Amiri jeshi mkuu, Bokasa etc
Wakati Ambwene Yessaya (AY) yeye alikua hana muda wa kuonya au kuelimisha au kutisha mtu kwenye mashairi yake, yeye aliamua kuja na mashairi yanayolenga ku burudisha zaidi. Yeye alipokua akitunga mashairi anafikiria zaidi jinsi watu watakavyo kuwa wana swing na party huko club na ndiyo maana aliamua kujiita Mzee wa Commercial.
Khamis Mwinjuma,a.k.a Mwanafalsa baadaye Mwana Fa, yeye alikuja na style ya mashairi ya kufikirisha zaidi, yenye nasaha, elimu, ya hali ya juu ambayo yamefungwa fungwa katika mfumo wa lugha unaohitaji kutuliza akili ili kumuelewa. Mashairi hasa ambayo yanahitaji uelewa katika usanifu wa kiswahili. Na mfumo wa utunzi wa kiswahili uliathiriwa na kuwa shaped na tabia yake ya tangu anakua ya kupenda kusoma na kuandika mashairi (Malenga).
Hawa vijana kila mmoja alikua na wapenzi wake ingawa Mwana Fa ndiye alikua na maneno yaliyokaa vichwani mwa watu wa Marika yote ingawa siku zote ilikua ngumu kuimba au kuyakarili mashairi yake zaidi ya kuyafurahia aimbapo alikua na misamiati iliyoishi kwa muda mrefu vichwani mwavwatu na ndani ya jamik.
Unaposema GK ndiye alikua na uwezo mkubwa kuliko wengine wote katika lile kundi lao, unakia umenionyesha wewe ni mtu wa aina gani, yaani ni mtu wa kubutua butua, piga mitama, ng"ado kwa ng'ado, mtaa kwa mtaa, utawachinja kama bokasa, amiri jeshi mkuu umesha lianzisha....yaani mtu wa hivyo
Asanteee, kanywe juice kwanza,![]()
Walionyuma kushoto aliyevaa kofia. Au macho yangu mabovu.?
Sasa huo Ni ufala au ueled, mtu had kusajili kampun unamwita falaIle East Coast ilijulikana kuwa ni ya watoto wa Upanga. GK akawazunguka wenzake, yeye na demu wake wakasajiri kampuni (East Coast Team) na wao wakawa ndiyo wamiliki huku wenzao wakiwa vibarua. Baadaye jamaa ndiyo wakazinduka usingizini na kujitenga naye mazima.
Naomba kuona kofia na kapelo hapo kwa GK mkuuGk yani habadiliki usela mwingi kwenye harusi ameenda kavaa kofia na kapelo duuuh!!!
Nikiilitaka kumaanisha kofia na hilo sweta[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Naomba kuona kofia na kapelo hapo kwa GK mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]nilijua tu hapo umechapiaNikiilitaka kumaanisha kofia na hilo sweta[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]