Chadema mpya sio saccos tena hivyo hawezi kuendana nayo!Walisema alikula pesa za JOIN THE CHAIN hivyo anaweza akala na hizi😀
Wanachama wamekirudisha chama mikononi mwao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema mpya sio saccos tena hivyo hawezi kuendana nayo!Walisema alikula pesa za JOIN THE CHAIN hivyo anaweza akala na hizi😀
Why mbowe kwani wote waliofuatilia walikua ukumbini ?Tukio la jana, ili tuelewe kwamba ana moyo wa kukubaliana na matokeo, nilitegemea dj angekuwepo kuhamasisha. au amekaa pale asubiri wakose hela ya kuendeshea chama kama alivyosema?
unamuuliza naniTukio la jana, ili tuelewe kwamba ana moyo wa kukubaliana na matokeo, nilitegemea dj angekuwepo kuhamasisha. au amekaa pale asubiri wakose hela ya kuendeshea chama kama alivyosema?
Na wewe wacha usenge kwani kuuliza hivyo kosa lake nini Mbowe ni mjumbe wa kudumu wa Kamati Kuu ya chama, akitajwa Mbowe kigololi kinakushuka, tuliza kishundu hicho.Acheni mambo ya kike na kitoto… mmechaguliwa endeleeni na maisha yenu. Sijamsikia Mbowe tangu uchaguzi upite kitu ambacho ni sahihi atoe nafasi kwa uongozi mpya kusonga mbele sasa chokochoko zanini??
Vibaka na matapeli wa kisiasa tafuteni pesaTukio la jana, ili tuelewe kwamba ana moyo wa kukubaliana na matokeo, nilitegemea dj angekuwepo kuhamasisha. au amekaa pale asubiri wakose hela ya kuendeshea chama kama alivyosema?
Alisema yeye siyo mbangaizaji!jana kama angekuwa ilikuwa nafasi nzuri sana kuunganisha chama, kutokuja manake anapenda kiumie kwa kigezo kwamba yeye ni tajiri wenzake makapuku hawawezi kuendesha chama bila pesa zake. hii dharau watanzania tuichukulie umakini tuchange pesa hadi aone aibu.
why mbowe? ni kwa sababu yeye alikuwa nkurunziza kwa miaka 20 na ushee bila lolote la maana zaidi ya kulamba asali na kusimanga wenzie kwamba ni wabangaizaji, hao waliopigwa risasi kwa sababu ya chama anasema ni wabangaizaji kwa sababu yeye hana risasi hata moja.Why mbowe kwani wote waliofuatilia walikua ukumbini ?
Kampeni ilikua iyo , na uchaguzi umeisha ishawhy mbowe? ni kwa sababu yeye alikuwa nkurunziza kwa miaka 20 na ushee bila lolote la maana zaidi ya kulamba asali na kusimanga wenzie kwamba ni wabangaizaji, hao waliopigwa risasi kwa sababu ya chama anasema ni wabangaizaji kwa sababu yeye hana risasi hata moja.
Mbowe HAWEZI kukaa na kuchangisha pesa anayoweza kuitoa kwenye M - Pesa yake.Tukio la jana, ili tuelewe kwamba ana moyo wa kukubaliana na matokeo, nilitegemea dj angekuwepo kuhamasisha. au amekaa pale asubiri wakose hela ya kuendeshea chama kama alivyosema?
Ungekuwa wewe ungeachia chanzo chako cha fedha na mademu kwa moyo mkunjufu ?Mbowe anafikiri Chadema haiwezi bila yeye, kumbe anakosea sana na bado ana kinyongo cha kukosa uenyekiti , ile nafasi hakuiachia Kwa moyo mkunjufu
Kwani uongojana kama angekuwa ilikuwa nafasi nzuri sana kuunganisha chama, kutokuja manake anapenda kiumie kwa kigezo kwamba yeye ni tajiri wenzake makapuku hawawezi kuendesha chama bila pesa zake.
🤔🤔Ungekuwa wewe ungeachia chanzo chako cha fedha na mademu kwa moyo mkunjufu ?