Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Nimekuwa nikifuatilia kwa Karibu Sana, kipindi chote cha uchaguzi mkuu wa Kenya, sijaona msururu wa walinzi wa viongozi hao, wakilindwa na ulinzi wa kuwalinda viongozi hao, pamoja na uhasama mkubwa, uliokuwepo huko Kenya, Katika kipindi chote cha uchaguzi huo.
Muda huu naangalia TV za Kenya, zikimuonyesha Rais mteule wa Kenya, William Ruto, akitoa hotuba yake, bila kulindwa na mlinzi yoyote!
Hali ni tofauti Sana hapa kwetu Tanzania, kwa kuwa Kila tunapowaona viongozi waandamizi wanapofanya shughuli za kisiasa, wakilindwa na walinzi wengi mno, na hata na bunduki za moto!
Hilo nalo linaweza likawa linaongeza gharama za uendeshaji wa nchi yetu na hivyo kuona msururu wa tozo tunazokamuliwa sisi watanzania 🥺
Muda huu naangalia TV za Kenya, zikimuonyesha Rais mteule wa Kenya, William Ruto, akitoa hotuba yake, bila kulindwa na mlinzi yoyote!
Hali ni tofauti Sana hapa kwetu Tanzania, kwa kuwa Kila tunapowaona viongozi waandamizi wanapofanya shughuli za kisiasa, wakilindwa na walinzi wengi mno, na hata na bunduki za moto!
Hilo nalo linaweza likawa linaongeza gharama za uendeshaji wa nchi yetu na hivyo kuona msururu wa tozo tunazokamuliwa sisi watanzania 🥺