tufahamishane
Member
- Jun 22, 2024
- 28
- 30
Hivi ile kauli mbiu ya awamu ya Nne 'Hari mpya , Nguvu mpya na Kasi mpya' ongezea na 'Ajira kwa wote' ilienda wapi ilifia wapi..? Mbona siku hizi siisikii tena..?Hivi ile kauli mbiu ya awamu ya Tano hapa kazi tu ilienda wapi ilifia wapi? Mbona siku hizi siisikii polite?
Hii kauli mbiu hapa kazi tu iliasisiwa na kipenzi cha wa Tanzania JPM ili kuwa kauli ya uhamasishaji na waliitendea kazi kweli kweli. Jamani anayejua ilipo ajitokeze a niambie hapa kazi tu iko wapi
Ina maana hujui kama kila Raisi anakuja na kauli mbiu yake? 😳Hivi ile kauli mbiu ya awamu ya Tano hapa kazi tu ilienda wapi ilifia wapi? Mbona siku hizi siisikii popote?
Hii kauli mbiu hapa kazi tu iliasisiwa na kipenzi cha wa Tanzania JPM ili kuwa kauli ya uhamasishaji na waliitendea kazi kweli kweli. Jamani anayejua ilipo ajitokeze a niambie hapa kazi tu iko wapi
Mkuu umejibu vuema sana! Shukrani!!!Hivi ile kauli mbiu ya awamu ya Nne 'Hari mpya , Nguvu mpya na Kasi mpya' ongezea na 'Ajira kwa wote' ilienda wapi ilifia wapi..? Mbona siku hizi siisikii tena..?
Jiongeze kijana...
Ile ni kauli mbiu ya JPM, now tupo na SAMIA na kauli mbiu ya 'KAZI IENDELEE'.
Hivi ile kauli mbiu ya awamu ya Nne 'Hari mpya , Nguvu mpya na Kasi mpya' ongezea na 'Ajira kwa wote' ilienda wapi ilifia wapi..? Mbona siku hizi siisikii tena..?
Jiongeze kijana...
Ile ni kauli mbiu ya JPM, now tupo na SAMIA na kauli mbiu ya 'KAZI IENDELEE'.
tupo na SAMIA na kauli mbiu ya 'KAZI IENDELEE'.
Ila mabango bado yapoHivi ile kauli mbiu ya awamu ya Tano hapa kazi tu ilienda wapi ilifia wapi? Mbona siku hizi siisikii popote?
Hii kauli mbiu hapa kazi tu iliasisiwa na kipenzi cha wa Tanzania JPM ili kuwa kauli ya uhamasishaji na waliitendea kazi kweli kweli. Jamani anayejua ilipo ajitokeze a niambie hapa kazi tu iko wapi
Ya Samia ni kula kwa urefu wa Kamba yakoHivi ile kauli mbiu ya awamu ya Nne 'Hari mpya , Nguvu mpya na Kasi mpya' ongezea na 'Ajira kwa wote' ilienda wapi ilifia wapi..? Mbona siku hizi siisikii tena..?
Jiongeze kijana...
Ile ni kauli mbiu ya JPM, now tupo na SAMIA na kauli mbiu ya 'KAZI IENDELEE'.
Jamaa una dhihaka sana aiseeHivi ile kauli mbiu ya awamu ya Tano hapa kazi tu ilienda wapi ilifia wapi? Mbona siku hizi siisikii popote?
Hii kauli mbiu hapa kazi tu iliasisiwa na kipenzi cha wa Tanzania JPM ili kuwa kauli ya uhamasishaji na waliitendea kazi kweli kweli. Jamani anayejua ilipo ajitokeze a niambie hapa kazi tu iko wapi
Vile viwanda 6,000 alivyotangaza magufuli kuwa tumevijenga umewahi kuona hata kimoja?Hivi ile kauli mbiu ya awamu ya Tano hapa kazi tu ilienda wapi ilifia wapi? Mbona siku hizi siisikii popote?
Hii kauli mbiu hapa kazi tu iliasisiwa na kipenzi cha wa Tanzania JPM ili kuwa kauli ya uhamasishaji na waliitendea kazi kweli kweli. Jamani anayejua ilipo ajitokeze a niambie hapa kazi tu iko wapi
Kazi zishapatikana susbiria 2025Hivi ile kauli mbiu ya awamu ya Tano hapa kazi tu ilienda wapi ilifia wapi? Mbona siku hizi siisikii popote?
Hii kauli mbiu hapa kazi tu iliasisiwa na kipenzi cha wa Tanzania JPM ili kuwa kauli ya uhamasishaji na waliitendea kazi kweli kweli. Jamani anayejua ilipo ajitokeze a niambie hapa kazi tu iko wapi
Hivi ile kauli mbiu ya awamu ya Tano hapa kazi tu ilienda wapi ilifia wapi? Mbona siku hizi siisikii popote?
Hii kauli mbiu hapa kazi tu iliasisiwa na kipenzi cha wa Tanzania JPM ili kuwa kauli ya uhamasishaji na waliitendea kazi kweli kweli. Jamani anayejua ilipo ajitokeze a niambie hapa kazi tu iko wapi