johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni zaidi ya mwaka sasa tokea Magufuli atwaliwe Mungu wa mbinguni lakini Wajumbe wa Kamati kuu ya Chadema Lissu, Lema na Wenje hawana dalili za kurejea nyumbani
Ikumbukwe Wenje na Lema ni marafiki wakubwa wa mzee Membe aliyerejea CCM juzi.
Akina Lema wanamuogopa nani?
Bashite?
Mwisho wa uwongo ni aibu!
Ikumbukwe Wenje na Lema ni marafiki wakubwa wa mzee Membe aliyerejea CCM juzi.
Akina Lema wanamuogopa nani?
Bashite?
Mwisho wa uwongo ni aibu!