JM Kavulla
Senior Member
- Mar 16, 2018
- 176
- 169
Sijajua una maana gani,nikusaidie tu kwa habari hii,TPDF iko imara katika ukanda huu wa Africa MasharikTPDF sasa inajigamba na silaha za.kichina. silaha ambazo ni copy and paste kuota Ussr. Hizi silaha hazijatumika kwa vita vyema kujulikana kama ni imara. Izo ndege sijui J9 ambazo ni mig 21 old model zaweza pigwa na kungatuliwa na jiwe tuseme mjaluo akirusha. Ndege bure kabisa. Tz wakauzwa kwa mchina wasijue la kufanya. Atleast sasa hawatumii mishale tena na panga uko.
Nimekuambia hujui historia na wewe ni mtoto wa 90's wakati wa idi Amin kulikuwa hakuna UPDF. Haijawahi kutokea Uganda kushambulia TPDF. Amini alivamia nchi ya Tanzania sio jeshi la Tanzania, lakini majibu aliyapata.Mshafikiria kutuhusu kwa iyo mada ya KDF wanane kuuwawa na IED uko Somalia na magaidi wa al shabaab. Sasa tunaangazia TPDF kushambuliwa na UPDF. iyo tu.
Uo uchungu wote aliutolea TZ poleni ndugu zetu wapendwaNaskia amin hakua na uhusiano mzuri na kenya,,kuna siku alikua anasafiri ndege yake ikaharibika injini ikabidi atue kenya kwa dharula
Rais wa kenya wa wakati huo,,jommo kenyata akampa amin ndege ya serikali ya kenya impeleke amin uganda
Amin akakataa akasema watamuua,akiofia kuwekewa bomu,ikabidi apande ndege hiyo na makamu wa rais wa wakati huo wa kenya mpaka uganda
aisee 'dili' na hali yako! sisi wakenya hatujui kuficha mambo. mazuri au mabaya yote tunayaweka wazi ili suluhisho zipatikane kwahivyo kuita mods hapa kwasababu ukweli umekuchoma ni upumbavu.Kwa kutukana umepata faida gani?
Kwa taarifa yako hamna tusi jipya, yaani matusi yako ni very outdated. Na utukanaji sio ujanja Wala sio uungwana.
Endelea kutukana.
Hahahahahahahahahahahahah, failed state countryTPDF ni wanamgambo waliotaifishwa.
Nakuonea huruma sana. Kwa hiyo serikali yako imekutuma JF kuja kutukana watu?aisee 'dili' na hali yako! sisi wakenya hatujui kuficha mambo. mazuri au mabaya yote tunayaweka wazi ili suluhisho zipatikane kwahivyo kuita mods hapa kwasababu ukweli umekuchoma ni upumbavu.
Sio hao tu, ata wale wapiganaji wa ANC walipiga kambi bongo na wengine wengi wa nchi za kusini mwa jangwa la saharaMuambie kwanini makundi yote yaliyokua yanampinga Idd Amin waliamua kuja kuishi Tanzania sio Kenya?, Obote, Yuweri Museven, Yusuph Lulee, na wengine wengi?, Kenya iliogopa kwamba ikiwahifadhi Amini ataiteka Kenya ndani ya mwezi mmoja.
leo uko peke yako na vifurushi vitakuishia ita mod ita mod!! !Ndo maana ukalizwa fedha Mpesa! Una utaahira flani! Si haba..
Moderator, Invisible, Maxence Melo, Mod uzalendo kwanza. Huyu alimwe permanent ban kwa kuikashifu nchi yetu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukishamaliza kukojoa, nenda ukalale, usisahau kuzima taa, wahi kulala kesho uwahi kwenda shule.
TPDF we Mtoto mfuate baba yako au mama yako mwambie akuhadithie vita ya kagera ilivyokua!!waulize je,TPDF walikuwa na panga na mishale??Cha kushangaza TZ aikuwa na uasama wowote na Uganda kama Kenya. Idi amin alidhani TZ kuwa nchi hafifu sana isiyo na mwelekeo na kuelekeza chuki yake dhidi ya Kenya uko. Cha muhimu kujua ni kuwa aliogopa kuishambulia Kenya manake alijua ni nchi hatari sana na jeshi imara. Tz bado icho kipindi aikuwa na jeshi kamili wengi Katika TPDF walikuwa na panga na mishale aisee. Ukishangaa ya musa....
sasa kwani UPDF mnawaweza nyie??ni vile we dogo huna historia!!unakumbuka mlianza kuleta chokochoko na Uganda mseveni akasema KDF ni jeshi legelege..!!akawataka msogeze pua zenu, mlisogeza??Mshafikiria kutuhusu kwa iyo mada ya KDF wanane kuuwawa na IED uko Somalia na magaidi wa al shabaab. Sasa tunaangazia TPDF kushambuliwa na UPDF. iyo tu.
Then aliitawala?Tuliza viroba dogo. Sitishiki kwa historia. Ukweli ni kuwa idi amin dada aliamua bongo ni nchi ya kumilikiwa kiraisi
Kusema ni tofauti na kutenda. Muulize alipitia nini alipojariku kuattack Western Kenya. Uliza Idi Amin nini ilifanyika alipotaka kunyakua Kenya hadi Naivasha.sasa kwani UPDF mnawaweza nyie??ni vile we dogo huna historia!!unakumbuka mlianza kuleta chokochoko na Uganda mseveni akasema KDF ni jeshi legelege..!!akawataka msogeze pua zenu, mlisogeza??