majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 812
NA HII ILITOKANA NA UKWELI KWAMBA KENYA WALIKUWA WANAMWOGOPA AMINI KUPITA MAELEZOUNAIJUA HISTORIA VIZURI?
Obote alipopinduliwa unajua alikimbilia wapi kwa mara ya kwanza ili kupata hifadhi?
M.A.Obote baada ya kupinduliwa alikimbilia Kenya,akapokelewa D.A.Moi uwanja wa ndege JKIA.
Moi akasema Kenya haiwezi kumpa hifadhi ya kisiasa kwa kuogopa uhusiano wake na Idd Amin. Hivyo akaishia hapo JKIA na kuja kupata hifadhi ya kisiasa Tanzania.
WATAKUAMBIA VITA YA MAUMAU......HA HA HA HAHivi nyie mmeshawahi pigana vita gan mkashinda ?
Asante mkuuAcha kutaka kupata credit za kijinga, ndege ya Israel ilitua Kenya kujaza mafuta, hiyo ndio kusaidia Israel?. Amini alipiga Tanzania kwasababu ndiyo iliyokua kitovu cha movements zote za ukombozi barani Africa. KENYA iliendelea kufanya biashara na utawala wa Amin, wakati Tanzania,ilikua ndiyo chimbuko la vuguvugu la kuangusha utawala wa Amin.
Iddi amin na Gaddafi walichapwa na vifaa vyao wenyewe.. Gaddafi alimpa Iddi amin majeshi kibao na mavifaa ya kutosha lakini hivyohivyo vifaa ndio vikatumika kumchapa mwenyewe..Cha kushangaza TZ aikuwa na uasama wowote na Uganda kama Kenya. Idi amin alidhani TZ kuwa nchi hafifu sana isiyo na mwelekeo na kuelekeza chuki yake dhidi ya Kenya uko. Cha muhimu kujua ni kuwa aliogopa kuishambulia Kenya manake alijua ni nchi hatari sana na jeshi imara. Tz bado icho kipindi aikuwa na jeshi kamili wengi Katika TPDF walikuwa na panga na mishale aisee. Ukishangaa ya musa....
na ndio maana kazi yenu ni kuhost uvamiziHata papa kabila (Laurent desire Kabila) aliyemtoa Mobutu sese seko alijificha Tanzania na kufanya mipango yake kutoka huko.
Tanzania is one of the few countries that hosted Che' Guevera a international reberation heroe quoted and ideologized across the world. Kenya hosts thieves and Genocide masterminds like Felicien Kabuga from Rwandana ndio maana kazi yenu ni kuhost uvamizi
Issue sio uvamizi ila Tanzania ni moja ya nchi yenye mchango mkubwa kusini mwa jangwa la sahara katika kusaidia nchi nyingine kupata uhuruna ndio maana kazi yenu ni kuhost uvamizi
We Kenya kwanin Luna makomando ,?na kama WAPO wengi wanawake coz waoga hawana weledi kabisaaa ,sasa itakua wakike bleed inawasumbua katika mazoezilakini kdf ni ovyo pamoja na vyombo vyenu vyoote vya ulinzi mi nilichoka tu pale westgate jamaa watatu na demu mmoja jumla wanne wa al shabaab wameingia westgate wamefanya yao majeshi yenu yakazingira westgate yote jamaa wakangoja mpaka saa 2 usiku wakaswali huku tukiwaona kwa CCTV wakamaliza na wakaondoka huku makomando wako hapo wanashangaa shangaa ...
Nyie Kenya makomando wenu wamezoea vunja chokoleti na biskut only [emoji12] [emoji12] [emoji12]JWTZ haina mshindani hapa Afrika mashariki, jamaa wanavunja matofali hadi matofali ya kujenga nyumba yanakosekana! [emoji23][emoji23][emoji23] Wakimaliza wanaanza kuvuta magari kwa meno hadi landrover za break down zinakosa biashara! [emoji38][emoji38]
Bado mkileta ujinga na Kenya tutawavamia ili tumuweke Edward Lowasa awatawale, hii itasaidia kupunguza ukabila, rushwa na njaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]na ndio maana kazi yenu ni kuhost uvamizi
IWEJE TUPIGWE HALAFU TUSHINDE VITA? ACHA KUAMBIWA AMBIWA TU MTAANI, PATA TAARIFA ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA.Historia ya Tanzania imepotoshwa makusudi na watawala. ukiongea na wanajeshi waliopigana hiyo vita wanasema tulipigw vibaya, tukasaidiwa na Uingereza, pia wanajeshi wetu waliawa sana kuliko namba inayotajwa. OVA
Tushawai pigana gani tukashindwa?Hivi nyie mmeshawahi pigana vita gan mkashinda ?
Tulishinda baada ya waingereza kuja kutupa backup...mganda alikuwa supported na libya na tulichakazwa.IWEJE TUPIGWE HALAFU TUSHINDE VITA? ACHA KUAMBIWA AMBIWA TU MTAANI, PATA TAARIFA ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA.
Lazima huyu kazaliwa 1994 na kuendelea. No sense of history what's so ever.
Tuliza viroba dogo. Sitishiki kwa historia. Ukweli ni kuwa idi amin dada aliamua bongo ni nchi ya kumilikiwa kiraisi