Mbona Uganda iliishambulia Tanzania badala ya Kenya?

Mbona Uganda iliishambulia Tanzania badala ya Kenya?

UNAIJUA HISTORIA VIZURI?
Obote alipopinduliwa unajua alikimbilia wapi kwa mara ya kwanza ili kupata hifadhi?

M.A.Obote baada ya kupinduliwa alikimbilia Kenya,akapokelewa D.A.Moi uwanja wa ndege JKIA.
Moi akasema Kenya haiwezi kumpa hifadhi ya kisiasa kwa kuogopa uhusiano wake na Idd Amin. Hivyo akaishia hapo JKIA na kuja kupata hifadhi ya kisiasa Tanzania.
NA HII ILITOKANA NA UKWELI KWAMBA KENYA WALIKUWA WANAMWOGOPA AMINI KUPITA MAELEZO
 
Acha kutaka kupata credit za kijinga, ndege ya Israel ilitua Kenya kujaza mafuta, hiyo ndio kusaidia Israel?. Amini alipiga Tanzania kwasababu ndiyo iliyokua kitovu cha movements zote za ukombozi barani Africa. KENYA iliendelea kufanya biashara na utawala wa Amin, wakati Tanzania,ilikua ndiyo chimbuko la vuguvugu la kuangusha utawala wa Amin.
Asante mkuu
 
JWTZ haina mshindani hapa Afrika mashariki, jamaa wanavunja matofali hadi matofali ya kujenga nyumba yanakosekana! [emoji23][emoji23][emoji23] Wakimaliza wanaanza kuvuta magari kwa meno hadi landrover za break down zinakosa biashara! [emoji38][emoji38]
 
Cha kushangaza TZ aikuwa na uasama wowote na Uganda kama Kenya. Idi amin alidhani TZ kuwa nchi hafifu sana isiyo na mwelekeo na kuelekeza chuki yake dhidi ya Kenya uko. Cha muhimu kujua ni kuwa aliogopa kuishambulia Kenya manake alijua ni nchi hatari sana na jeshi imara. Tz bado icho kipindi aikuwa na jeshi kamili wengi Katika TPDF walikuwa na panga na mishale aisee. Ukishangaa ya musa....
Iddi amin na Gaddafi walichapwa na vifaa vyao wenyewe.. Gaddafi alimpa Iddi amin majeshi kibao na mavifaa ya kutosha lakini hivyohivyo vifaa ndio vikatumika kumchapa mwenyewe..
 
na ndio maana kazi yenu ni kuhost uvamizi
Tanzania is one of the few countries that hosted Che' Guevera a international reberation heroe quoted and ideologized across the world. Kenya hosts thieves and Genocide masterminds like Felicien Kabuga from Rwanda
 
The Argentinean revolutionary and hero of the Cuban revolution, Ernesto “Che” Guevara, spent over four months in Tanzania between 1965 and 1966. He entered Tanzanian soil a total of three times, once publicly and twice in secret between February and November of 1965. Che was attracted to Tanzania because it was the headquarters of most liberation movements from southern Africa; it was one of the centers of revolutionary thought in the African continent at the time.
mondlane%2Bwith%2Bche%2Bguevara%2Cdares%2Bsalaam%2B1965(1).jpg
 
lakini kdf ni ovyo pamoja na vyombo vyenu vyoote vya ulinzi mi nilichoka tu pale westgate jamaa watatu na demu mmoja jumla wanne wa al shabaab wameingia westgate wamefanya yao majeshi yenu yakazingira westgate yote jamaa wakangoja mpaka saa 2 usiku wakaswali huku tukiwaona kwa CCTV wakamaliza na wakaondoka huku makomando wako hapo wanashangaa shangaa ...
We Kenya kwanin Luna makomando ,?na kama WAPO wengi wanawake coz waoga hawana weledi kabisaaa ,sasa itakua wakike bleed inawasumbua katika mazoezi
 
JWTZ haina mshindani hapa Afrika mashariki, jamaa wanavunja matofali hadi matofali ya kujenga nyumba yanakosekana! [emoji23][emoji23][emoji23] Wakimaliza wanaanza kuvuta magari kwa meno hadi landrover za break down zinakosa biashara! [emoji38][emoji38]
Nyie Kenya makomando wenu wamezoea vunja chokoleti na biskut only [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Historia ya Tanzania imepotoshwa makusudi na watawala. ukiongea na wanajeshi waliopigana hiyo vita wanasema tulipigw vibaya, tukasaidiwa na Uingereza, pia wanajeshi wetu waliawa sana kuliko namba inayotajwa. OVA
IWEJE TUPIGWE HALAFU TUSHINDE VITA? ACHA KUAMBIWA AMBIWA TU MTAANI, PATA TAARIFA ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA.
 
Mimi nitaendelea kuwakumbusha watanzania na wakenya wengi hawana kazi za .....

Maana wanaongoza kwa kusutana mitandaoni....

Na huyu mkenya sijui kaandika nini!!! Ilimradi tu aanze kusutana na watz ndio furaha yake
 
IWEJE TUPIGWE HALAFU TUSHINDE VITA? ACHA KUAMBIWA AMBIWA TU MTAANI, PATA TAARIFA ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA.
Tulishinda baada ya waingereza kuja kutupa backup...mganda alikuwa supported na libya na tulichakazwa.
 
Back
Top Bottom