gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,956
- 2,274
Takribani miezi 4 sasa imeisha toka ujenzi wa barabara hii ya makongo juu kuzinguliwa (November 1) lakini ujenzi wake umezidi kusua sua kiasi kwamba unatia mashaka kama kweli mradi huu upo au ni danganya toto.
Miezi 4 sasa hakuna maendeleo yoyote yaliyofanyika na hata hii kampuni ya JASCO Constructions inatutia mashaka katika hili. Kumekuwa na sintofahamu sana kwani utendaji wao wa kazi kwa kiasi fulani unaleta sana usumbufu kwa watumiaji wa barabara hii: haya ni maendeleo ya ujenzi
NOVEMBER 1: Ujenzi kuzinduliwa na mkuu wa Mkoa, na magari mengi ya JASCO yakaja tukapata matumaini ujenzi unaanza. Ujenzi ulipoisha nao wakaondoka (wakapotea wiki 5). wakarudi dec 13.
DECEMBER 13: Vikawekwa vibao vingi sana, Punguza mwendo (20km/h) ujenzi unaendelea, na tena wakafunga kile kipande cha kuanzia Makongo CCM mpaka ardhi wakaandika ujenzi unaendelea, wakapotea tena (wiki 4) (na vibao wakaviacha hapo)
JANUARY MWANZONI: Wakaja tena wakaitoi ile lami kipande cha kama KM1 kasoro pale ardhi, kisha wakapotea tena (wiki 4). wakatuacha tunakula vumbi hata kile kipande kilichokuwa na lami
FEBRUARY Mwanzoni: Wakaja wakakata miti pembezoni mwa barabara halafu hawakuitoa waliyoikata wakapotea tena (wiki 2)
February katikati, wakaanza kumwaga vifusi (siku nzima unakuta wamemwaka vifusi 4 - 5 tu)
Yaani kwa kifupi ujenzi wa barabara hii ni kero na unatia mashaka maana vifusi vimemwagwa bila barabara kutinduliwa na tayari wamevishindilia. Sasa hiyo r/lami itayowekwa hapo, sijui...
now tunaanza mwezi wa 5 lakini hatuoni ile speed ambayo tulitegemea. JASCO shida nini maana hata vitendea kazi haviko site.
UPDATE
Takribani mwaka sasa umepita tangu ujenzi wa barabara hii ulizinduliwa na leo tarehe 2 OCTOBER 2020, hakuna kinachoendelea,
Mbaya zaidi hali ya barabara imekuwa mbaya zaidi hasa kipande kila cha KM 1 Kilichokuwa na lami pale ardhi kutinduliwa na Mkandarasi kukitelekeza!
kipande hiki kwa sasa hakipitiki gari zinadunda kama mpira wa miguu! JASCO kila siku wanakuja wana mwaga vifusi na wanaondoka!
shida nini?
Miezi 4 sasa hakuna maendeleo yoyote yaliyofanyika na hata hii kampuni ya JASCO Constructions inatutia mashaka katika hili. Kumekuwa na sintofahamu sana kwani utendaji wao wa kazi kwa kiasi fulani unaleta sana usumbufu kwa watumiaji wa barabara hii: haya ni maendeleo ya ujenzi
NOVEMBER 1: Ujenzi kuzinduliwa na mkuu wa Mkoa, na magari mengi ya JASCO yakaja tukapata matumaini ujenzi unaanza. Ujenzi ulipoisha nao wakaondoka (wakapotea wiki 5). wakarudi dec 13.
DECEMBER 13: Vikawekwa vibao vingi sana, Punguza mwendo (20km/h) ujenzi unaendelea, na tena wakafunga kile kipande cha kuanzia Makongo CCM mpaka ardhi wakaandika ujenzi unaendelea, wakapotea tena (wiki 4) (na vibao wakaviacha hapo)
JANUARY MWANZONI: Wakaja tena wakaitoi ile lami kipande cha kama KM1 kasoro pale ardhi, kisha wakapotea tena (wiki 4). wakatuacha tunakula vumbi hata kile kipande kilichokuwa na lami
FEBRUARY Mwanzoni: Wakaja wakakata miti pembezoni mwa barabara halafu hawakuitoa waliyoikata wakapotea tena (wiki 2)
February katikati, wakaanza kumwaga vifusi (siku nzima unakuta wamemwaka vifusi 4 - 5 tu)
Yaani kwa kifupi ujenzi wa barabara hii ni kero na unatia mashaka maana vifusi vimemwagwa bila barabara kutinduliwa na tayari wamevishindilia. Sasa hiyo r/lami itayowekwa hapo, sijui...
now tunaanza mwezi wa 5 lakini hatuoni ile speed ambayo tulitegemea. JASCO shida nini maana hata vitendea kazi haviko site.
UPDATE
Takribani mwaka sasa umepita tangu ujenzi wa barabara hii ulizinduliwa na leo tarehe 2 OCTOBER 2020, hakuna kinachoendelea,
Mbaya zaidi hali ya barabara imekuwa mbaya zaidi hasa kipande kila cha KM 1 Kilichokuwa na lami pale ardhi kutinduliwa na Mkandarasi kukitelekeza!
kipande hiki kwa sasa hakipitiki gari zinadunda kama mpira wa miguu! JASCO kila siku wanakuja wana mwaga vifusi na wanaondoka!
shida nini?