Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Ha ha ha ha Mungu ibariki Tanzania na timu yangu ya Yanga!!!
"corona ipo tuchukue tahadhari"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha Mungu ibariki Tanzania na timu yangu ya Yanga!!!
"corona ipo tuchukue tahadhari"
We subri ijumaa na jmos. Vifaa vyote vya sherehe machinga watakua navyo barabaraniMi natafuta fataki za kulipua...zinauzwa wapi!
"corona ipo tuchukue tahadhari"
Nmepata taarifa, ila hilo neno send off nlikua sijaliwaza.Kwani wehauna taarifa mkuu..??
Jumapili tumeagizwa tukaogelee na tuparelie kwa kupiga keleleeeeeee......!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunamuaga mwali....teh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nmepata taarifa, ila hilo neno send off nlikua sijaliwaza.
Na kweli tunaisend off corona irud ilipotoka
Ulipima wapi kuthibitisha umepona ikiwa maabara iko kwenye uchunguzi?
Mimi ninausoma tu sababu kuna neno Mungu ibariki timu ya Yanga[emoji1][emoji1]daima mbele, nyuma mwikoYaani baada ya kuona hiyo timu ya yanga tu hapo chini basi tayari uzi wote umebatilika.
Kwani nilikuwa naumwa nini mkuu..??Ulipima wapi kuthibitisha umepona ikiwa maabara iko kwenye uchunguzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mwisho ulipoomba baraka ndio umeuwa zaidiKwakweli hali ni tofauti na wiki mbili nyuma vifo tata na hata uenezwaji wa taarifa za vifo vihusianavyo na Corona havisikiki tena!
Hata wanaharakati waliokuwa wakitujuza misiba mbalimbali na kuihusianisha na Covid 19 pia wapo kimya!
Ndiyo kusema Corona bye-bye!?
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
Nadhani ni uzi wenu huu.Mimi ninausoma tu sababu kuna neno Mungu ibariki timu ya Yanga[emoji1][emoji1]daima mbele, nyuma mwiko
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kulikuwa na rambi rambi Mkuu!Waulize wale wachawi wa kutegea Tanzia akina Mshana na kibibi mwenzake Gsam
Piga kelele ukiwa umevaa Mask. Hiyo siku virus watakuwa wengi sana kwenye hewa Miss.J2 full shangwe, tushapewa ruhusa ya kupiga kelele na kushangilia