Mbona vifo tata vimepungua sana!?

Mbona vifo tata vimepungua sana!?

Kwakweli hali ni tofauti na wiki mbili nyuma vifo tata na hata uenezwaji wa taarifa za vifo vihusianavyo na Corona havisikiki tena!


Hata wanaharakati waliokuwa wakitujuza misiba mbalimbali na kuihusianisha na Covid 19 pia wapo kimya!


Ndiyo kusema Corona bye-bye!?


Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
Wameshindwa na kulegea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli hali ni tofauti na wiki mbili nyuma vifo tata na hata uenezwaji wa taarifa za vifo vihusianavyo na Corona havisikiki tena!


Hata wanaharakati waliokuwa wakitujuza misiba mbalimbali na kuihusianisha na Covid 19 pia wapo kimya!


Ndiyo kusema Corona bye-bye!?


Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
Naona nyungu zimesaidia sana 🤣 🤣 🤣
 
Mkuu, hili swala limekuwa linanipa shida kidogo.
Kwani mimi sio binadamu na sipaswi kuumwa?
Naomba urudi ukarudie kusoma tena, ukikuta sehem niliandika kwamba ninaumwa corona wallahi ninakupatia 20,000 ya usumbufu this morning..
Mkuu Hali ilikuwa mbaya unabisha leo hahahahahah corona kiboko
 
Ndio sababu Mwl Ummy alipongezwa mjengoni, na jumapili ijayo ni send off ya Corona...teh[emoji23]
Alafu naskia wengi walio ng'ata shuka, walikua na magonjwa mengine.
Umeua mzee! Kumbe walio ng’ata shuka walikuwa na magonjwa yao mengine afu wanasingizia Corona sio!
 
0cd4ddf7-9b30-4c55-984a-0f578c6263f1.jpg



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaa aunt kajifungua so namsaidia kulea
He he! Ole wako uninyime utajua kwanini jiwe yupo chato mpaka sahivi na utaelewa kwanini alipima yale matunda yakakutwa na cov.. utajua tu vizuri
 
Nina amini tumevuka maana wote tumeshapigwa na corona!
Na walio jifungia ndani siku wakitoka tuna wapumulia ile corona OG ole wao wakenya!
 
Kwakweli hali ni tofauti na wiki mbili nyuma vifo tata na hata uenezwaji wa taarifa za vifo vihusianavyo na Corona havisikiki tena!


Hata wanaharakati waliokuwa wakitujuza misiba mbalimbali na kuihusianisha na Covid 19 pia wapo kimya!


Ndiyo kusema Corona bye-bye!?


Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
Ha ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom