Wameshindwa na kulegeaKwakweli hali ni tofauti na wiki mbili nyuma vifo tata na hata uenezwaji wa taarifa za vifo vihusianavyo na Corona havisikiki tena!
Hata wanaharakati waliokuwa wakitujuza misiba mbalimbali na kuihusianisha na Covid 19 pia wapo kimya!
Ndiyo kusema Corona bye-bye!?
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
Naona nyungu zimesaidia sana 🤣 🤣 🤣Kwakweli hali ni tofauti na wiki mbili nyuma vifo tata na hata uenezwaji wa taarifa za vifo vihusianavyo na Corona havisikiki tena!
Hata wanaharakati waliokuwa wakitujuza misiba mbalimbali na kuihusianisha na Covid 19 pia wapo kimya!
Ndiyo kusema Corona bye-bye!?
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
🙏Wewe tena, tutakua wote
Thanks dear, mask ni muhimu sana.Piga kelele ukiwa umevaa Mask. Hiyo siku virus watakuwa wengi sana kwenye hewa Miss.
Zipi hizo jaman, unanisingzia ujue🙏
Na unipe sio uanze zile swaga zako..😅
Aisee..[emoji23][emoji23][emoji23]Kumekucha
Si zile swaga zenu ati leo nipo mwezini Mara shangazi hataki Mara Bibi kanikataza!..😅Zipi hizo jaman, unanisingzia ujue
Mkuu Hali ilikuwa mbaya unabisha leo hahahahahah corona kibokoMkuu, hili swala limekuwa linanipa shida kidogo.
Kwani mimi sio binadamu na sipaswi kuumwa?
Naomba urudi ukarudie kusoma tena, ukikuta sehem niliandika kwamba ninaumwa corona wallahi ninakupatia 20,000 ya usumbufu this morning..
Stress free zone😂😂Aisee..[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa aunt kajifungua so namsaidia kuleaSi zile swaga zenu ati leo nipo mwezini Mara shangazi hataki Mara Bibi kanikataza!..😅
Umeua mzee! Kumbe walio ng’ata shuka walikuwa na magonjwa yao mengine afu wanasingizia Corona sio!Ndio sababu Mwl Ummy alipongezwa mjengoni, na jumapili ijayo ni send off ya Corona...teh[emoji23]
Alafu naskia wengi walio ng'ata shuka, walikua na magonjwa mengine.
He he! Ole wako uninyime utajua kwanini jiwe yupo chato mpaka sahivi na utaelewa kwanini alipima yale matunda yakakutwa na cov.. utajua tu vizuriHahahaa aunt kajifungua so namsaidia kulea
Mkuu, kwani wehuogopi kutangulia... 😎Mkuu Hali ilikuwa mbaya unabisha leo hahahahahah corona kiboko
Ha ha ha haKwakweli hali ni tofauti na wiki mbili nyuma vifo tata na hata uenezwaji wa taarifa za vifo vihusianavyo na Corona havisikiki tena!
Hata wanaharakati waliokuwa wakitujuza misiba mbalimbali na kuihusianisha na Covid 19 pia wapo kimya!
Ndiyo kusema Corona bye-bye!?
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.