Na nyie mnatakiwa utoto uwatoke, kwani mnajidhania bado kuna mzazi wenu wa kuwadekeza? Sio huyo wa kambo,
Nyie hamuoni yanayotokea na watu wanalalamika humu, chagueni kitimiza wajibu wenu katika mapambano haya, sio muda wa kudeka huu, mdai haki zenu sawa, ila biashara ya, " mama, mama, mama" muache ,, its time to hate the regime and wait for the right timing, be rrady for anything, ,