Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,509
- 23,653
Pamoja na Mwanasheria Mkuu Wa Serikali, aliekua akishirikiana na DPP kuwafungulia kesi za ajabu mahakamani na kuwanyima dhamana.Haahaa Leo mdee na bulaya wanatetewa na ndugai.haahaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na Mwanasheria Mkuu Wa Serikali, aliekua akishirikiana na DPP kuwafungulia kesi za ajabu mahakamani na kuwanyima dhamana.Haahaa Leo mdee na bulaya wanatetewa na ndugai.haahaa
Ni wazi hawa wapo kwa ajili ya manufaa ya ccm na wala sio CHADEMA. CHADEMA iwafukuze haraka sana.Haahaa Leo mdee na bulaya wanatetewa na ndugai.haahaa
Hata mjinga lazima ashangae. Iweje CCM ndio wanapambana kuwatetea hawa wabunge wa viti maalumu CHADEMA? Yaani CCM ghafla wamekuwa watetezi wa CHADEMA. Sasa nimeamini CCM hawana hata chembe ya aibu.
Watanzania amkeni, hawa CCM hawana utu hata chembe, tafuteni dawa nyingine ya kudeal nao tofauti na hii ya sanduku la kura. Haishangazi waliingiza kura fake na bila aibu wakajitangaza wameshinda kwa kishindo.
mil 600 tu na ahadi ya naibu waziriMdee amekubali vipi kuingia kwenye huu mtego wa hawa nyumbu...wamemlipa shilingi ngapi
yaani hii toilet paper nayo inaandika mambo ya Chama Cha Demokrasia 😄
Nadhani Safari hii zile kesi zote zitafutwaPamoja na Mwanasheria Mkuu Wa Serikali, aliekua akishirikiana na DPP kuwafungulia kesi za ajabu mahakamani na kuwanyima dhamana.
Hata mjinga lazima ashangae. Iweje CCM ndio wanapambana kuwatetea hawa wabunge wa viti maalumu CHADEMA? Yaani CCM ghafla wamekuwa watetezi wa CHADEMA. Sasa nimeamini CCM hawana hata chembe ya aibu.
Watanzania amkeni, hawa CCM hawana utu hata chembe, tafuteni dawa nyingine ya kudeal nao tofauti na hii ya sanduku la kura. Haishangazi waliingiza kura fake na bila aibu wakajitangaza wameshinda kwa kishindo.
Wanajali maslahi mapana ya kuwa madarakani.WanaCCM wanajali maslahi mapana ya taifa.
Maagizo toka juu ili wapate buku 7 ndo maana hata humu JF yamejaa na ujinga wao mpaka wachangiaji mahili wamehama wala haina mvuto tena. Lumumba yameteka JF hata mimi nitahama kama Mayalla ingawa sina njaa!Hata mjinga lazima ashangae. Iweje CCM ndio wanapambana kuwatetea hawa wabunge wa viti maalumu CHADEMA? Yaani CCM ghafla wamekuwa watetezi wa CHADEMA. Sasa nimeamini CCM hawana hata chembe ya aibu.
Watanzania amkeni, hawa CCM hawana utu hata chembe, tafuteni dawa nyingine ya kudeal nao tofauti na hii ya sanduku la kura. Haishangazi waliingiza kura fake na bila aibu wakajitangaza wameshinda kwa kishindo.
Hawa CCM kwa kiwatetea wabunge wa viti maalum waChadema, wakati kwenye uchaguzi mkuu uliopita, wao ndiyo walikiwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa Chadema hawapati hata kiti kimoja kwa kuchaguliwa, inadhihirisha namna chama hiko kilivyo "machampion" wa wizi wa kura!Hata mjinga lazima ashangae. Iweje CCM ndio wanapambana kuwatetea hawa wabunge wa viti maalumu CHADEMA? Yaani CCM ghafla wamekuwa watetezi wa CHADEMA. Sasa nimeamini CCM hawana hata chembe ya aibu.
Watanzania amkeni, hawa CCM hawana utu hata chembe, tafuteni dawa nyingine ya kudeal nao tofauti na hii ya sanduku la kura. Haishangazi waliingiza kura fake na bila aibu wakajitangaza wameshinda kwa kishindo.