Sasa eti Mwanasheria mkuu anahaha kuwafutia kesi zao zote zikiwemo za kupigwa na magerezaccm kisha kesi hii ndiyo CCM ya sasa isiyojali chochote wala kuona Aibu kufanya viojaHata mjinga lazima ashangae. Iweje CCM ndio wanapambana kuwatetea hawa wabunge wa viti maalumu CHADEMA? Yaani CCM ghafla wamekuwa watetezi wa CHADEMA. Sasa nimeamini CCM hawana hata chembe ya aibu.
Watanzania amkeni, hawa CCM hawana utu hata chembe, tafuteni dawa nyingine ya kudeal nao tofauti na hii ya sanduku la kura. Haishangazi waliingiza kura fake na bila aibu wakajitangaza wameshinda kwa kishindo.
Mayala Paskal yupo JF lakini huchangia kwa uoga uoga kwani bado anawinda uteuzi kwa udi na uvumbaMaagizo toka juu ili wapate buku 7 ndo maana hata humu JF yamejaa na ujinga wao mpaka wachangiaji mahili wamehama wala haina mvuto tena. Lumumba yameteka JF hata mimi nitahama kama Mayalla ingawa sina njaa!
Nyumbu ni CCM kwani hata mbugani nyumbu ni wengi kama CCM walivyo wengiNyumbu anayepona unyumbu
Mwanasheria wa Serikali kajitoa fahamu kaongea vitu vya ajabu bila Aibu kuwa watumwa wa kike tokea chadema wapo Bungeni kisheria ingawa wapo Bungeni kwa njia haramu za kishetaniPamoja na Mwanasheria Mkuu Wa Serikali, aliekua akishirikiana na DPP kuwafungulia kesi za ajabu mahakamani na kuwanyima dhamana.
Wazungu waendelee kukaza hakuna pesa kuja Korea ya Kaskazini.Sasa eti Mwanasheria mkuu anahaha kuwafutia kesi zao zote zikiwemo za kupigwa na magerezaccm kisha kesi hii ndiyo CCM ya sasa isiyojali chochote wala kuona Aibu kufanya vioja
Chui na mbuzi wawa marafiki ghafla.Haahaa Leo mdee na bulaya wanatetewa na ndugai.haahaa
Shangaa naweweHaahaa Leo mdee na bulaya wanatetewa na ndugai.haahaa
Unapoteza pumzi yako na hiyo porojo yako,,,, mnatuchosha sana,,, it seems your brain in bent badly bent,,, list your NGO for their money and we will soon close them NGO rubbishesNimekua nikijiuliza, hivi kwanini CCM wanashangilia sana kuapa kwa wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA kuliko hata wanaCHADEMA wenyewe?
Jibu lililowazi ni kuwa Uchaguzi wa October umefanya viongozi wateule kukosa uhalali wa uongozi ndani na nje ya nchi (haswa nchi za magharibi). Hili sio tatizo maana tunajua Jiwe hajali kuhusu uhalali wowote, angekua anajali, asingefanya aliyofanya kwenye uchaguzi.
Sababu nyengine yaweza kuwa CCM wamegundua kukaa peke yao bungeni wangeishia kulumabana wao kwa wao. Pia wasingeweza kuwaonyooshea vidole wapinzani kuwa ndo wanakwamisha maendeleo, wakati bunge lote lilikua lao.
Lakini sababu kuu, na yenye msingi ni fedha. Kabla ya hawa wabunge 19 wa CHADEMA, bunge lilikua na wabunge wawili wa kuteuliwa walioapa. Mfumo wa Bunge unahitaji uongozi wa upinzani kwenye baadhi ya kamati kama PAC kwa ajili ya oversight. Wafadhili wasingetoa pesa zao kwenye bunge lisilokuwa na mfumo wa kuchunguza pesa zao zinatumika vipi. Hata hivyo, uteuzi wa wabunge wa Africa Mashariki na Umoja wa Africa unahitaji baadhi ya wabunge watoke upinzani. Hapa pia walikwama.
Yaaani Bunge ilibidi libadilishe kanuni zake ili liweze endesha shuguli zake. Walikua wanawahitaji sana hao wabunge wa CHADEMA ili bunge liweze kuendeswa bila kubadili kanuni na ndio maana nguvu kubwa sana imetumika kuwaconvince kina Mdee.
Hata hivyo, sio siri kuwa nchi yetu kwa sasa inapitia msukomsuko mkubwa wa kidiplomasia. Hawa Viti Maalum wamempa Kabudi "utetezi" akienda kwa wafadhili na vyombo vya habari vya kimataifa. Kila wakimuuliza kama uchaguzi ulikua huru na haki atawajibu kuwa "hao waliosema haukua huru mbona wamepeleka wabunge wa viti maalumu kwa idadi ya kura za uchaguzi huu?"
Kwa namna moja ni habari njema kwa Magufuli, ila bado wanasafari ndefu sana. Kuna plenty of evidence ambazo tayari zimewasilishwa ICC na mabalozi kuhusu mwenendo wa uchaguzi. Bado itawawia vigumu sana kujitetea.
Chazo changu kinachofanya kazi kwenye moja ya hizi balozi kimeniambia kuwa traditional development partners wote, ambao ndio wanamchango mkubwa kwenye bajeti (UK,USA, EU, Cannada, South Korea, Japan na Nordic countries zote) wamekubaliana "informally" kuhusu namna watakavyojihusisha na serikali hii.
Amenihakikishia kuwa kutakua na focus kubwa sana ya kutoa financial support kwa Non government actors (NGOs, CSOs, Activists). Na misaada yao kwenye bajeti ya nchi itapungua mno in fact miradi itakayoendelea ni ile ambayo ipo kwenye utekelezaji, Ila hakuna miradi mipya itakayofadhiliwa na wao. Hii ni changamoto kwa serikali.
Uzuri ni kuwa serikali wataendelea pata support ya Benki ya Dunia na African Development Bank ambazo policies zao zinawakataza kujihisisha na kuingilia mambo ya kisiasa. Japo nchi kama Marekani inaweza tumia nguvu yake katika taasisi hizi kuzuia mikopo. Jua kwamba Marekani na UK ni wanahisani wakubwa zaidi Beni ya Dunia na Africa Development Bank.
Wanaweza wakatumia hiki kigezo washawishi bodi wasipitishe miradi, kama walivyofanya Januari mwaka huu kwenye ule mradi wa elimu wa sekondari (SEQUIP). Hata hivyo Benki ya Dunia haitotoa misaada ya policy support kama wanavyofanyaga.
Huko Zanzibar ndio kabisa, uchumi uko vibaya, na Mwinyi anahangaika sana kuhakikisha Maalim anaingia kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa ili apate uhalali.
Nawaonea huruma sana wafanyabiashara maana wao ndio watakandamizwa sana. Serikali itahitaji kodi zenu kuliko wakati mwengine wowote ule.
Mnahusishwa na game msiyoijua subirini kesho ndiyo mazishi ya CDM rasmi cos those women are very powerful and will bring CDM to its knees,,,, mlipoambiwa mwisho wa upinzani mlifikiri utani sasa wakati wenu wa kuaminishwa ni kesho,,, wafukuzeni uwanachama hao wanawake muone!!!S
Shangaa nawewe
Nguruwe wa Lumumba katika ujinga wakoNyumbu anayepona unyumbu
CCM hatushangilii, tunawacheka nyumbu maana mlichonga Sana na huyo beberu lenu Amsterdam, Mara ICC, Mara hamuitambui serikali na hakukuwa na uchaguzi, Aida Khenani afukuzwe chadema na utopolo mwingiiiii.Nimekua nikijiuliza, hivi kwanini CCM wanashangilia sana kuapa kwa wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA kuliko hata wanaCHADEMA wenyewe?
Jibu lililowazi ni kuwa Uchaguzi wa October umefanya viongozi wateule kukosa uhalali wa uongozi ndani na nje ya nchi (haswa nchi za magharibi). Hili sio tatizo maana tunajua Jiwe hajali kuhusu uhalali wowote, angekua anajali, asingefanya aliyofanya kwenye uchaguzi.
Sababu nyengine yaweza kuwa CCM wamegundua kukaa peke yao bungeni wangeishia kulumabana wao kwa wao. Pia wasingeweza kuwaonyooshea vidole wapinzani kuwa ndo wanakwamisha maendeleo, wakati bunge lote lilikua lao.
Lakini sababu kuu, na yenye msingi ni fedha. Kabla ya hawa wabunge 19 wa CHADEMA, bunge lilikua na wabunge wawili wa kuteuliwa walioapa. Mfumo wa Bunge unahitaji uongozi wa upinzani kwenye baadhi ya kamati kama PAC kwa ajili ya oversight. Wafadhili wasingetoa pesa zao kwenye bunge lisilokuwa na mfumo wa kuchunguza pesa zao zinatumika vipi. Hata hivyo, uteuzi wa wabunge wa Africa Mashariki na Umoja wa Africa unahitaji baadhi ya wabunge watoke upinzani. Hapa pia walikwama.
Yaaani Bunge ilibidi libadilishe kanuni zake ili liweze endesha shuguli zake. Walikua wanawahitaji sana hao wabunge wa CHADEMA ili bunge liweze kuendeswa bila kubadili kanuni na ndio maana nguvu kubwa sana imetumika kuwaconvince kina Mdee.
Hata hivyo, sio siri kuwa nchi yetu kwa sasa inapitia msukomsuko mkubwa wa kidiplomasia. Hawa Viti Maalum wamempa Kabudi "utetezi" akienda kwa wafadhili na vyombo vya habari vya kimataifa. Kila wakimuuliza kama uchaguzi ulikua huru na haki atawajibu kuwa "hao waliosema haukua huru mbona wamepeleka wabunge wa viti maalumu kwa idadi ya kura za uchaguzi huu?"
Kwa namna moja ni habari njema kwa Magufuli, ila bado wanasafari ndefu sana. Kuna plenty of evidence ambazo tayari zimewasilishwa ICC na mabalozi kuhusu mwenendo wa uchaguzi. Bado itawawia vigumu sana kujitetea.
Chazo changu kinachofanya kazi kwenye moja ya hizi balozi kimeniambia kuwa traditional development partners wote, ambao ndio wanamchango mkubwa kwenye bajeti (UK,USA, EU, Cannada, South Korea, Japan na Nordic countries zote) wamekubaliana "informally" kuhusu namna watakavyojihusisha na serikali hii.
Amenihakikishia kuwa kutakua na focus kubwa sana ya kutoa financial support kwa Non government actors (NGOs, CSOs, Activists). Na misaada yao kwenye bajeti ya nchi itapungua mno in fact miradi itakayoendelea ni ile ambayo ipo kwenye utekelezaji, Ila hakuna miradi mipya itakayofadhiliwa na wao. Hii ni changamoto kwa serikali.
Uzuri ni kuwa serikali wataendelea pata support ya Benki ya Dunia na African Development Bank ambazo policies zao zinawakataza kujihisisha na kuingilia mambo ya kisiasa. Japo nchi kama Marekani inaweza tumia nguvu yake katika taasisi hizi kuzuia mikopo. Jua kwamba Marekani na UK ni wanahisani wakubwa zaidi Beni ya Dunia na Africa Development Bank.
Wanaweza wakatumia hiki kigezo washawishi bodi wasipitishe miradi, kama walivyofanya Januari mwaka huu kwenye ule mradi wa elimu wa sekondari (SEQUIP). Hata hivyo Benki ya Dunia haitotoa misaada ya policy support kama wanavyofanyaga.
Huko Zanzibar ndio kabisa, uchumi uko vibaya, na Mwinyi anahangaika sana kuhakikisha Maalim anaingia kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa ili apate uhalali.
Nawaonea huruma sana wafanyabiashara maana wao ndio watakandamizwa sana. Serikali itahitaji kodi zenu kuliko wakati mwengine wowote ule.
Rudi’s Henk pesa ya corona kwakua Maliki Tinu kwa nyunguCCM hatushangilii, tunawacheka nyumbu maana mlichonga Sana na huyo beberu lenu Amsterdam, Mara ICC, Mara hamuitambui serikali na hakukuwa na uchaguzi, Aida Khenani afukuzwe chadema na utopolo mwingiiiii.
Sasa Mara mmelegea mmepeleka wabunge, lazima tuwashangae Hawa nyumbu vipi huwa hamjielewi mnachosema tofauti na mnachofanya tofauti.
Nyumbu hovyo kabisa.
Mmethibitisha kichapo Cha shoga mwizi mlichopata kwenye uchaguzi ni halali.Hata mjinga lazima ashangae. Iweje CCM ndio wanapambana kuwatetea hawa wabunge wa viti maalumu CHADEMA? Yaani CCM ghafla wamekuwa watetezi wa CHADEMA. Sasa nimeamini CCM hawana hata chembe ya aibu.
Watanzania amkeni, hawa CCM hawana utu hata chembe, tafuteni dawa nyingine ya kudeal nao tofauti na hii ya sanduku la kura. Haishangazi waliingiza kura fake na bila aibu wakajitangaza wameshinda kwa kishindo.
Ndugai amekuwa msemaji wa wasaliti.Ccm anaingiaje!