Mbona wanawake hawakemei Usagaji kama sisi tunavyokemea ushoga?

Mbona wanawake hawakemei Usagaji kama sisi tunavyokemea ushoga?

Status
Not open for further replies.

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mada ni kwa mtindo wa swali.

Nguvu inayotumiwa na jamii ya Kiafrica kukemea ushoga inaridhisha. Ni kikundi kidogo sana kinaunga mkono ushoga.

Kwa sasa ukienda gest hamruhusiwi kulala wanaume tupu labda mlazimishe kwa kumpanga mhudumu. Lakini suala ya wanawake kulala chumba kimoja ni ruksa.

Nikiitazama jamii ya kike naiona kama haina muda na usagaji, sikikii matamko makali makali kama ya ushoga.

Simaanishi ushoga usikemewe vikali kama usagaji lah hasha, nahoji kwa nini wanawake hawawawashii moto wasagaji? Hauna baya?
 
Huwa nashangaa sanaa...kuna kipnd nlipita grocery fln kumwagilia moyo...pale counter palikuwa na waschana wawili...mmoj akawa kapitwa na usngiz..ila mwenzake akawa anamtomasa chuchu lkn hata hakushtuka ...nkajarbu kumgusia kuwa labda usiku huwa mnasagana nini?...alinikatalia il kwa yale mazngira ya kushkana vile lzm kuna kukoboana
 
Weka mademu wapigane denda hapo mbele na wanaume wapigane denda hvo hvo alafu uone ipi itanasa macho yako na ipi itakukera
 
Wanawake wengi kama hakuwai kujaribu kusagana basi anatamani.

Asilimia kubwa ya wanawake wa sasa tena sana sana walokwenye ndoa ni wasagaji,

Asilimia kubwa ya wadada miaka 15-19 ambao bado wapo o-level na advance ndo michezo yao na wengi wa umri huu wanasagana na ndugu zao majumbani.... Asilimia kubwa ya wadada miaka 20-28 hao ni balaa yani wao awashindwi kumuweka mwanamke mwenzao karibu kwa lengo la kumbananisha tu.

Familia nyingi sana sasa watoto wa kike wanatabia hizi tena wale watoto wanaochungwa sana wanaharibiwa na ma house girl sema kujua ni ngumu hadi kufuatilia kwa ukaribu.

"Wanawake asili yao usagaji kimatendo, kifikra na kivingine"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom