mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Duuuh nielewe tu[emoji23][emoji23][emoji23]Si kweli mpenzi, mim kwa upande wangu siwez kuelewa au kukuamini ukinambia hivo
Sio kwa ubaya lkn
wallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh nielewe tu[emoji23][emoji23][emoji23]Si kweli mpenzi, mim kwa upande wangu siwez kuelewa au kukuamini ukinambia hivo
Sio kwa ubaya lkn
Mbona unafosi sana ndugu hizo mada zako?Kwahiyo unafurahia MAPENZI YA JINSIA MOJA?
Wewe ni mtetezi wa MAPENZI YA JINSIA MOJA.Wewe ikuuma basi unataka dunia nzima ituume? kwani dhambi ndio hiyo tu unayoiona hapa duniani?
nimekuambia i have nothing to do na mapenzi ya jinsia moja full stop
kwani lazima nijibu mtihani wa shule nisiyosoma na haunihusu?
Hebu shika asabu yako kwanza
Ndugu kwani lazima wote tufanye kile unakiona wewe ni sahihi?Wewe ni mtetezi wa MAPENZI YA JINSIA MOJA.
Unabisha?
Haya.Ndugu kwani lazima wote tufanye kile unakiona wewe ni sahihi?
Mbona una mawazo yakitoto sa na mgando mnoo?
Unapokuwa wewe mpingaji au shabiki haina maana kila mtu lazima achukue upande ni kila mtu yuko bize na mfumo wa maisha yake.
Sitetei wala silaumu jambo lisilo nihusu wewe ndio unayewashwa kila siku kuwawekea mada watu ambao sijui mmekoseana nini, sasa sio lazima nasisi tuwe kama wewe,
Wewe unawaona wanadhambi,wakosaji wasiostahili kuwepo Mimi nawaona ni binadamu walio sawa na binadamu wote na wanastahili kupewa heshima yao.
Muhimu nikuishi maisha yako tu yanayokuhusu sio kulazimisha kila mtu awe na misimamo kama yakwako.
Kama unapumuliwa endelea kuwashwa kama haupumuliwi basi endelea na mambo yako sio kila kesi uwe hakimu utapasuka msamba bure
Basi hakuna madhara kwa anayefanya, inawezekana hataki mwanaume.Madhara yapo mentally na spiritually zaid kuliko physically.
1. Kunapunguza au kuondoa ham kabsa ya kushiriki ngono na mwanaume
Kwa mwanamke haina makali kama mwanaume akipelekewa motoYaani mwanamke akifirwa unapenda?
Sijawai mkuuUmewahi kusagana?
Nilichogundua uyu nae anafanya huu mchezo usibishane nae tena uache muogope Mungu.mana maneno yake tu yanaonesha sio mwezetu n pungambona unafosi sana ndugu hizo mada zako?
Wewe ikuuma basi unataka dunia nzima ituume? kwani dhambi ndio hiyo tu unayoiona hapa duniani?
nimekuambia i have nothing to do na mapenzi ya jinsia moja full stop
kwani lazima nijibu mtihani wa shule nisiyosoma na haunihusu?
Hebu shika asabu yako kwanza