Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika, tena naomba kutumia maneno yako katika heading ya thread mpyaKila mwanamke ana asili ya usagaji ndio maana wanabusu-iana
Kwanini...?By nature all women are lesbian
Sio utetezi wa mapenzi ya jinsia moja labda nikuulize jambo hili,Kwahiyo unatetea MAPENZI YA JINSIA MOJA?
Mmmmmh baadhi,,Wanawake wengi kama hakuwai kujaribu kusagana basi anatamani
Asilimia kubwa ya wanawake wa sasa tena sana sana walokwenye ndoa ni wasagaji,
Asilimia kubwa ya wadada miaka 15-19 ambao bado wapo o-level na advance ndo michezo yao na wengi wa umri huu wanasagana na ndugu zao majumbani.... Asilimia kubwa ya wadada miaka 20-28 hao ni balaa yani wao awashindwi kumuweka mwanamke mwenzao karibu kwa lengo la kumbananisha tu.......
Familia nyingi sana sasa watoto wa kike wanatabia hizi tena wale watoto wanaochungwa sana wanaharibiwa na ma house girl sema kujua ni ngumu hadi kufuatilia kwa ukaribu
"Wanawake asili yao usagaji kimatendo, kifikra na kivingine"
Unasubiri Nini kumpa onyo Kali !?huyu ni mke wangu kabisa.Meseji nyingi karibia zote anaanza na maneno laini/matamu akimuita rafiki yake.Kuna muda inanikera ila yeye anajiona swaafi!
Madhara yapo mentally na spiritually zaid kuliko physically.Usagaji una madhara gani kwani???
Ukwel nilikuwa sijajua kama ni vyedi au sivyedi.Unasubiri Nini kumpa onyo Kali !?
Mbona mi kuna ladies nlikuaga nawajua ni lesbians lakini vile vile wanapelekewa moto sana....hii imekaajemadhara yapo mentally na spiritually zaid kuliko physically.
1. Kunapunguza au kuondoa ham kabsa ya kushiriki ngono na mwanaume
Ni rahisi kuwagundua na kuwakemea wanaume (miondoko yao) waliofukuliwa kuliko wanawake waliolambana wanajificha sanaMada ni kwa mtindo wa swali.
Nguvu inayotumiwa na jamii ya Kiafrica kukemea ushoga inaridhisha. Ni kikundi kidogo sana kinaunga mkono ushoga.
Kwa sasa ukienda gest hamruhusiwi kulala wanaume tupu labda mlazimishe kwa kumpanga mhudumu. Lakini suala ya wanawake kulala room moja ni ruksa.
Nikiitazama jamii ya kike naiona kama haina time na usagaji,sikikii matamko makali makali kama ya ushoga.
Simaanishi ushoga usikemewe vikali kama usagaji lah hasha,nahoji kwa nini wanawake hawawashii moto wasagaji? Hauna baya?
Kunakupelewa moto lakin Bado ikawa ni kutiza wajibu tu ila hakuna anacho sikiaMbona mi kuna ladies nlikuaga nawajua ni lesbians lakini vile vile wanapelekewa moto sana....hii imekaaje
JIBU SWALI:Sio utetezi wa mapenzi ya jinsia moja labda nikuulize jambo hili,
Kuwaacha watoto wacheze kibaba baba nikuwafundisha au kutetea ngono zembe au uzinifu?
Unalopaswa nikuelewa kiasili mwanamke katika mapenzi ana nafasi gani, na mwanaume ana nafasi gani.
wanawake katika yote wanabakia kuwa wanawake na watafanyiana kile mwanamke alipaswa kufanyiwa lakini kwa mwanaume inakemewa sana sababu wanakuwa wanafanya jambo ambalo mwanamke anapaswa kufanyiwa na linakuja kwa mwanaume
Huenda si jambo liloshamiri .Mada ni kwa mtindo wa swali.
Nguvu inayotumiwa na jamii ya Kiafrica kukemea ushoga inaridhisha. Ni kikundi kidogo sana kinaunga mkono ushoga.
Kwa sasa ukienda gest hamruhusiwi kulala wanaume tupu labda mlazimishe kwa kumpanga mhudumu. Lakini suala ya wanawake kulala room moja ni ruksa.
Nikiitazama jamii ya kike naiona kama haina time na usagaji,sikikii matamko makali makali kama ya ushoga.
Simaanishi ushoga usikemewe vikali kama usagaji lah hasha,nahoji kwa nini wanawake hawawashii moto wasagaji? Hauna baya?
Papuchi zinaota sugu acheni usagaji nyie.
Sitetei wala siyapingi jambo ambalo halinihusu sidhani kama napaswa kulivalia njuga yoyote,JIBU SWALI:
UNATETEA MAPENZI YA JINSIA MOJA?
Many women would agree men are to blame for everything. They would like that I say this, as it suits their egos just fine.Si kweli mkuu.
Ni vile haujafuatilia,
Hizo mambo za kipepo hell NO.
Unaachaje muwa kwa mfano.