Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 754
We nawe yaani hata kama ndo ku-read between lines wewe umezidi sijui una-read between words?
Eti kaka Masaki lol
Tehe tehe tehe! Mimi sitaki uniite kaka, maana utanifanya nione aibu kukuambia yaliyo moyoni mwangu! 🙂