Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Wewe na yeye nani anakula vumbi mkuu?Sasa kipi hasa alichoongea chenye faida kwa nchi?
Kama yeye kweli anajifanya anajua siri za nchi alete mikataba ya madini tuione hapo hata mm ntaanza kumuona wa maana.
Vinginevyo aendelee kula vumbi huko usa
kwa taarifa tu hata hao watu wa CCM wanamfollow ndiyo ujue anaongea vingapi vina faida.
Au umesahau mara ngapi anaongea vitu mpaka serikali inabidi ikanushe.