NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
- Thread starter
- #21
Please, let's discuss things that deserve discussions, not obvious things.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Please, let's discuss things that deserve discussions, not obvious things.
Siamini huo upuuzi, na hata kwa maisha yangu yote sijaona mganga/mchawi kwa macho yangu mawili. Ila naamini kwamba mtu anayewafata washirikina ili awa'roge' wenzake kwasababu wamemzidi kwa njia moja au nyingine sio mtu mkarimu wala mstaarabu hata kidogo. Tumeelewana wewe mvaa hirizi?Mtu yeyote anayeamini kwamba unaweza kurogwa na ukadhurika kweli, " that person is one among the primitive person,", mawazo ya kuzungumzia uchawi yanaendana sana na ukabila.
Education is a vaccine against social and primitive myths like "Uchawi". Ukiona mtu amesoma lakini bado anatajataja uchawi, na anautaja kuonyesha kwamba uchawi unaweza kumdhuru mtu au kumsaidia MTU, jua shule alienda kupoteza muda wake.
Umenishangaza kidogo unaposema the biggest economy,wakati nchi za Africa karibu zote ni masikiniPlease, let's discuss things that deserve discussions, not obvious things.
Hata ukajifanya muungwana vipi, ukwel tutausema...Ninarudia, mtu yeyote anayetajataja uchawi, tena anautaja kuonyesha kwamba uchawi unaweza kumdhuru au kusaidia, huyo mtu ni very "Primitive".
Kwao kila kitu ushirikina...mziki, utajiri, mpira, siasaSiamini huo upuuzi, na hata kwa maisha yangu yote sijaona waganga/wachawi kwa macho yangu mawili. Ila naamini kwamba mtu anayewafata washirikina ili awa'roge' wenzake kwasababu wamemzidi kwa njia moja au nyingine sio mtu mkarimu wala mstaarabu hata kidogo. Tumeelewana wewe mvaa hirizi?
Nenda kajifunze kimombo kabla ya kurespond kwa post zilizoandikwa kwa kimombo.Umenishangaza kidogo unaposema the biggest economy,wakati nchi za Africa karibu zote ni masikini
Hizo ni hadithi za kufikirika, hayo ni mazungumzo ya watu wajinga, ulishawahi kumuona mtu aliyekwenda kumroga mtu kwasababu amefanikiwa maisha ili kumrudisha chini?, kama ambavyo hujamuona mchawi kwa macho yako, hata watu wanaokwenda kuroga kwasababu jamaa kajenga NYUMBA nzuri, ni hadithi za kijinga, zinazoenezwa na watu wajinga, epuka kuwa mmoja wao.Siamini huo upuuzi, na hata kwa maisha yangu yote sijaona mganga/mchawi kwa macho yangu mawili. Ila naamini kwamba mtu anayewafata washirikina ili awa'roge' wenzake kwasababu wamemzidi kwa njia moja au nyingine sio mtu mkarimu wala mstaarabu hata kidogo. Tumeelewana wewe mvaa hirizi?
This comes after someone opened a thread criticizing Kenyans for their directness in speech and praising Tanzanians for their politeness. It reminded me of something in life. Most of the people I meet who appear so kind and polite always turn out to be the most hateful snitches ever. The real guys however who come direct and won't hide behind niceties turn out to be the best people for both business and hanging out. This phenomenon explains he difference between our two countries and especially their leadership. In Tanzania, the leaders and their niceties have convinced the population that they have the best leaders in the world while the average Kenyan believes Kenya has the worst leaders in the world. Meanwhile, the 'bad' Kenyan leaders have managed to grow a bigger economy using less resources than the 'good' leaders from Tanzania.
Asante kwa kuwa mkweli.This is true!
Sio viongozi wa Tanzania!
Sema viongozi wa serikali ya chama cha kipumbavu cha CCM ndio wanaaminisha wananchi kua wao ni viongozi bora zaidi ya viongozi wa Kenya!
Thats on them sio kwetu sisi wananchi!
No one believe that nonsense!
Viongozi wanaotokana na CCM ni the most dumbest group of people on earth,not even close!
Ila wananchi wa both Tanzania and Kenya are lovely people with more in common zaidi ya differences!
Sitakubali, shukran lakini kwa kukubali kwamba mnaishi kiujinga ujinga. Maanake huo upuuzi ndio urithi wenu na sifa yenu kuu. Mkiongozwa na viongozi wa chama chenu. Hadi wanawapa dawa ya kujiunga na free mason! [emoji1]Hizo ni hadithi za kufikirika, hayo ni mazungumzo ya watu wajinga, ulishawahi kumuona mtu aliyekwenda kumroga mtu kwasababu amefanikiwa maisha ili kumrudisha chini?, kama ambavyo hujamuona mchawi kwa macho yako, hata watu wanaokwenda kuroga kwasababu jamaa kajenga NYUMBA nzuri, ni hadithi za kijinga, zinazoenezwa na watu wajinga, epuka kuwa mmoja wao.
😂Imetosha hio boss! Eti Kujiunga na Free Mason! You have to be beyond daft to believe that!Sitakubali, shukran lakini kwa kukubali kwamba mnaishi kiujinga ujinga. Maanake huo upuuzi ndio urithi wenu na sifa yenu kuu. Mkiongozwa na viongozi wa chama chenu. Hadi wanawapa dawa ya kujiunga na free mason! [emoji1]![]()
Ninarudia tena, wewe inaonekana kichwa ni mwako akili sio nzuri, duniani kote kuna watu wajinga na wajanja, ukiona watu wanafanya mambo ya kijinga, na wewe yakakugusa inaonekana na wewe ni mjingaSitakubali, shukran lakini kwa kukubali kwamba mnaishi kiujinga ujinga. Maanake huo upuuzi ndio urithi wenu na sifa yenu kuu. Mkiongozwa na viongozi wa chama chenu. Hadi wanawapa dawa ya kujiunga na free mason! [emoji1]![]()
Sitakubali, shukran lakini kwa kukubali kwamba mnaishi kiujinga ujinga. Maanake huo upuuzi ndio urithi wenu na sifa yenu kuu. Mkiongozwa na viongozi wa chama chenu. Hadi wanawapa dawa ya kujiunga na free mason! [emoji1]![]()
[emoji23]Imetosha hio boss! Eti Kujiunga na Free Mason! You have to be beyond daft to believe that!
Kenya watu wanauliwa kwasababu za kishirikina, stupidKwao kila kitu ushirikina...mziki, utajiri, mpira, siasa
Who is this stupid guy who does not even know the meaning of a peace. You talk about peace in Kenya? Then you should go back to school and learn how to compare things. Tourism? Because you promote Mt. Kilimanjaro is in Kenya? Just compare earnings and see how Tanzania is way far beyond Kenya recently. Read that and go to sleep!!joto la jiwe,
I think something is wrong with you if you believe good leaders shouldn't strive to give their citizens a decent standard of living. It is stupid to claim you are civilized while you still kill albinos because you believe their flesh has some magical powers. Please, bring us statistics of people visiting Tanzania and compare with those visiting Kenya before you state those stupid statements........FYI, Kenya has hosted the most refugees of all African countries. Kenya has the highest number of South Sudanese, Somalis et al living here. We have Rwandese, Congolese, Burundians living here even though we don't share borders with them. Those Congolese musicians you love (e.g Madilu, Mbilia Bel et al) have all lived in Kenya and found refuge in Kenya. Shut your mouth.
Who is this stupid guy who does not even know the meaning of a peace. You talk about peace in Kenya? Then you should go back to school and learn how to compare things. Tourism? Because you promote Mt. Kilimanjaro is in Kenya? Just compare earnings and see how Tanzania is way far beyond Kenya recently. Read that and go to sleep!!
![]()
Kenya: Why tourists prefer Tanzania
Kenya has admitted that it has been losing tourists to Tanzania in recent years.www.thecitizen.co.tz
Now what is this? Please stupid people, don't quote me. I don't do stupid.Who is this stupid guy who does not even know the meaning of a peace. You talk about peace in Kenya? Then you should go back to school and learn how to compare things. Tourism? Because you promote Mt. Kilimanjaro is in Kenya? Just compare earnings and see how Tanzania is way far beyond Kenya recently. Read that and go to sleep!!
![]()
Kenya: Why tourists prefer Tanzania
Kenya has admitted that it has been losing tourists to Tanzania in recent years.www.thecitizen.co.tz