Mbona watu wanaoonekana wakarimu ndio wabaya zaidi?

Mbona watu wanaoonekana wakarimu ndio wabaya zaidi?

Mtu yeyote anayeamini kwamba unaweza kurogwa na ukadhurika kweli, " that person is one among the primitive person,", mawazo ya kuzungumzia uchawi yanaendana sana na ukabila.

Education is a vaccine against social and primitive myths like "Uchawi". Ukiona mtu amesoma lakini bado anatajataja uchawi, na anautaja kuonyesha kwamba uchawi unaweza kumdhuru mtu au kumsaidia MTU, jua shule alienda kupoteza muda wake.
Siamini huo upuuzi, na hata kwa maisha yangu yote sijaona mganga/mchawi kwa macho yangu mawili. Ila naamini kwamba mtu anayewafata washirikina ili awa'roge' wenzake kwasababu wamemzidi kwa njia moja au nyingine sio mtu mkarimu wala mstaarabu hata kidogo. Tumeelewana wewe mvaa hirizi?
 
Ninarudia, mtu yeyote anayetajataja uchawi, tena anautaja kuonyesha kwamba uchawi unaweza kumdhuru au kusaidia, huyo mtu ni very "Primitive".
Hata ukajifanya muungwana vipi, ukwel tutausema...
Punguzeni kurogana, manake kuacha hilo hamtoweza
 
Siamini huo upuuzi, na hata kwa maisha yangu yote sijaona waganga/wachawi kwa macho yangu mawili. Ila naamini kwamba mtu anayewafata washirikina ili awa'roge' wenzake kwasababu wamemzidi kwa njia moja au nyingine sio mtu mkarimu wala mstaarabu hata kidogo. Tumeelewana wewe mvaa hirizi?
Kwao kila kitu ushirikina...mziki, utajiri, mpira, siasa
 
Siamini huo upuuzi, na hata kwa maisha yangu yote sijaona mganga/mchawi kwa macho yangu mawili. Ila naamini kwamba mtu anayewafata washirikina ili awa'roge' wenzake kwasababu wamemzidi kwa njia moja au nyingine sio mtu mkarimu wala mstaarabu hata kidogo. Tumeelewana wewe mvaa hirizi?
Hizo ni hadithi za kufikirika, hayo ni mazungumzo ya watu wajinga, ulishawahi kumuona mtu aliyekwenda kumroga mtu kwasababu amefanikiwa maisha ili kumrudisha chini?, kama ambavyo hujamuona mchawi kwa macho yako, hata watu wanaokwenda kuroga kwasababu jamaa kajenga NYUMBA nzuri, ni hadithi za kijinga, zinazoenezwa na watu wajinga, epuka kuwa mmoja wao.
 
This comes after someone opened a thread criticizing Kenyans for their directness in speech and praising Tanzanians for their politeness. It reminded me of something in life. Most of the people I meet who appear so kind and polite always turn out to be the most hateful snitches ever. The real guys however who come direct and won't hide behind niceties turn out to be the best people for both business and hanging out. This phenomenon explains he difference between our two countries and especially their leadership. In Tanzania, the leaders and their niceties have convinced the population that they have the best leaders in the world while the average Kenyan believes Kenya has the worst leaders in the world. Meanwhile, the 'bad' Kenyan leaders have managed to grow a bigger economy using less resources than the 'good' leaders from Tanzania.

This is true!

Sio viongozi wa Tanzania!

Sema viongozi wa serikali ya chama cha kipumbavu cha CCM ndio wanaaminisha wananchi kua wao ni viongozi bora zaidi ya viongozi wa Kenya!

Thats on them sio kwetu sisi wananchi!

No one believe that nonsense!

Viongozi wanaotokana na CCM ni the most dumbest group of people on earth,not even close!

Ila wananchi wa both Tanzania and Kenya are lovely people with more in common zaidi ya differences!
 
This is true!

Sio viongozi wa Tanzania!

Sema viongozi wa serikali ya chama cha kipumbavu cha CCM ndio wanaaminisha wananchi kua wao ni viongozi bora zaidi ya viongozi wa Kenya!

Thats on them sio kwetu sisi wananchi!

No one believe that nonsense!

Viongozi wanaotokana na CCM ni the most dumbest group of people on earth,not even close!

Ila wananchi wa both Tanzania and Kenya are lovely people with more in common zaidi ya differences!
Asante kwa kuwa mkweli.
 
Hizo ni hadithi za kufikirika, hayo ni mazungumzo ya watu wajinga, ulishawahi kumuona mtu aliyekwenda kumroga mtu kwasababu amefanikiwa maisha ili kumrudisha chini?, kama ambavyo hujamuona mchawi kwa macho yako, hata watu wanaokwenda kuroga kwasababu jamaa kajenga NYUMBA nzuri, ni hadithi za kijinga, zinazoenezwa na watu wajinga, epuka kuwa mmoja wao.
Sitakubali, shukran lakini kwa kukubali kwamba mnaishi kiujinga ujinga. Maanake huo upuuzi ndio urithi wenu na sifa yenu kuu. Mkiongozwa na viongozi wa chama chenu. Hadi wanawapa dawa ya kujiunga na free mason! [emoji1]
1173976_552070_377760568961165_817557693_n.jpg
 
Sitakubali, shukran lakini kwa kukubali kwamba mnaishi kiujinga ujinga. Maanake huo upuuzi ndio urithi wenu na sifa yenu kuu. Mkiongozwa na viongozi wa chama chenu. Hadi wanawapa dawa ya kujiunga na free mason! [emoji1]
1173976_552070_377760568961165_817557693_n.jpg
😂Imetosha hio boss! Eti Kujiunga na Free Mason! You have to be beyond daft to believe that!
 
Sitakubali, shukran lakini kwa kukubali kwamba mnaishi kiujinga ujinga. Maanake huo upuuzi ndio urithi wenu na sifa yenu kuu. Mkiongozwa na viongozi wa chama chenu. Hadi wanawapa dawa ya kujiunga na free mason! [emoji1]
1173976_552070_377760568961165_817557693_n.jpg
Ninarudia tena, wewe inaonekana kichwa ni mwako akili sio nzuri, duniani kote kuna watu wajinga na wajanja, ukiona watu wanafanya mambo ya kijinga, na wewe yakakugusa inaonekana na wewe ni mjinga
 
Sitakubali, shukran lakini kwa kukubali kwamba mnaishi kiujinga ujinga. Maanake huo upuuzi ndio urithi wenu na sifa yenu kuu. Mkiongozwa na viongozi wa chama chenu. Hadi wanawapa dawa ya kujiunga na free mason! [emoji1]
1173976_552070_377760568961165_817557693_n.jpg

Angalieni ujinga wenu huu
 
joto la jiwe,

I think something is wrong with you if you believe good leaders shouldn't strive to give their citizens a decent standard of living. It is stupid to claim you are civilized while you still kill albinos because you believe their flesh has some magical powers. Please, bring us statistics of people visiting Tanzania and compare with those visiting Kenya before you state those stupid statements........FYI, Kenya has hosted the most refugees of all African countries. Kenya has the highest number of South Sudanese, Somalis et al living here. We have Rwandese, Congolese, Burundians living here even though we don't share borders with them. Those Congolese musicians you love (e.g Madilu, Mbilia Bel et al) have all lived in Kenya and found refuge in Kenya. Shut your mouth.
Who is this stupid guy who does not even know the meaning of a peace. You talk about peace in Kenya? Then you should go back to school and learn how to compare things. Tourism? Because you promote Mt. Kilimanjaro is in Kenya? Just compare earnings and see how Tanzania is way far beyond Kenya recently. Read that and go to sleep!!

 
Who is this stupid guy who does not even know the meaning of a peace. You talk about peace in Kenya? Then you should go back to school and learn how to compare things. Tourism? Because you promote Mt. Kilimanjaro is in Kenya? Just compare earnings and see how Tanzania is way far beyond Kenya recently. Read that and go to sleep!!


Read this as well::

 
Who is this stupid guy who does not even know the meaning of a peace. You talk about peace in Kenya? Then you should go back to school and learn how to compare things. Tourism? Because you promote Mt. Kilimanjaro is in Kenya? Just compare earnings and see how Tanzania is way far beyond Kenya recently. Read that and go to sleep!!

Now what is this? Please stupid people, don't quote me. I don't do stupid.
 
Back
Top Bottom