Mbona Yanga hawakutoa "Thank You" kwa watu hawa?

Mbona Yanga hawakutoa "Thank You" kwa watu hawa?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Utaratibu wa kutoa post za "Thank You" kupitia mitandao ya kijamii kwa wachezaji au makocha wa benchi la ufundi wanaokoma kuitumikia timu umekuwa ni utaratibu mpya ulioanza kutumiwa na timu zetu hivi karibuni. Ukiangalia kwa makini namna tangazo la "Thank You", imeonekana kama ni unafki fulani kwa maana limekuwa linatumika zaidi kwa wachezaji ambao wameonekana hawana msaada tena kwa timu husika. Sijaona Thank You ikitumika kwa mchezaji aliyeuzwa au kwa kocha aliyeondoka huku club ikiwa bado inamuhitaji.

Sijaona Yanga wakipost Thank You kwa kocha msaidizi Cedric Kaze aliyekuwa mtu muhimu sana kwa misimu kadhaa pale Yanga. Inaonyesha kuondoka kwake pale Yanga kulikuwa kutokana na kutokubaliana mambo fulani fulani ya kimkataba.

Niliwahi kutabiri kuwa Yanga hawatapost Thank You kwa kocha wao wa viungo, Helmy Gueldich "Manywele" ambaye mashabiki wengi wa Yanga walikuwa wanaombea aendelee kuwepo pale Yanga. Nilisema huyu hawatatoa taarifa bali mtashangaa tu hayupo na nilikuwa sahihi, jamaa ameondoka kimya kimya bila taarifa yoyote kutolewa na Thank You yake haikutoka.

Je, huu uungwana tunaojaribu kuuonyesha kwa kutoa Thank You unatoka kweli moyoni kwa viongozi na watendaji wa vilabu hivi au hizi Thank You's zina maana nyingine?
 
Utaratibu wa kutoa post za "Thank You" kupitia mitandao ya kijamii kwa wachezaji au makocha wa benchi la ufundi wanaokoma kuitumikia timu umekuwa ni utaratibu mpya ulioanza kutumiwa na timu zetu hivi karibuni. Ukiangalia kwa makini namna tangazo la "Thank You", imeonekana kama ni unafki fulani kwa maana limekuwa linatumika zaidi kwa wachezaji ambao wameonekana hawana msaada tena kwa timu husika. Sijaona Thank You ikitumika kwa mchezaji aliyeuzwa au kwa kocha aliyeondoka huku club ikiwa bado inamuhitaji.

Sijaona Yanga wakipost Thank You kwa kocha msaidizi Cedric Kaze aliyekuwa mtu muhimu sana kwa misimu kadhaa pale Yanga. Inaonyesha kuondoka kwake pale Yanga kulikuwa kutokana na kutokubaliana mambo fulani fulani ya kimkataba.

Niliwahi kutabiri kuwa Yanga hawatapost Thank You kwa kocha wao wa viungo, Helmy Gueldich "Manywele" ambaye mashabiki wengi wa Yanga walikuwa wanaombea aendelee kuwepo pale Yanga. Nilisema huyu hawatatoa taarifa bali mtashangaa tu hayupo na nilikuwa sahihi, jamaa ameondoka kimya kimya bila taarifa yoyote kutolewa na Thank You yake haikutoka.

Je, huu uungwana tunaojaribu kuuonyesha kwa kutoa Thank You unatoka kweli moyoni kwa viongozi na watendaji wa vilabu hivi au hizi Thank You's zina maana nyingine?
Wakipewa thank you utapata nini? tuonyeshe thank you ya Kyombo hapo ukoloni

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Utaratibu wa kutoa post za "Thank You" kupitia mitandao ya kijamii kwa wachezaji au makocha wa benchi la ufundi wanaokoma kuitumikia timu umekuwa ni utaratibu mpya ulioanza kutumiwa na timu zetu hivi karibuni. Ukiangalia kwa makini namna tangazo la "Thank You", imeonekana kama ni unafki fulani kwa maana limekuwa linatumika zaidi kwa wachezaji ambao wameonekana hawana msaada tena kwa timu husika. Sijaona Thank You ikitumika kwa mchezaji aliyeuzwa au kwa kocha aliyeondoka huku club ikiwa bado inamuhitaji.

Sijaona Yanga wakipost Thank You kwa kocha msaidizi Cedric Kaze aliyekuwa mtu muhimu sana kwa misimu kadhaa pale Yanga. Inaonyesha kuondoka kwake pale Yanga kulikuwa kutokana na kutokubaliana mambo fulani fulani ya kimkataba.

Niliwahi kutabiri kuwa Yanga hawatapost Thank You kwa kocha wao wa viungo, Helmy Gueldich "Manywele" ambaye mashabiki wengi wa Yanga walikuwa wanaombea aendelee kuwepo pale Yanga. Nilisema huyu hawatatoa taarifa bali mtashangaa tu hayupo na nilikuwa sahihi, jamaa ameondoka kimya kimya bila taarifa yoyote kutolewa na Thank You yake haikutoka.

Je, huu uungwana tunaojaribu kuuonyesha kwa kutoa Thank You unatoka kweli moyoni kwa viongozi na watendaji wa vilabu hivi au hizi Thank You's zina maana nyingine?
Thank You Kolo
 
Bado sijaona hoja ya msingi ya kunijibu swali langu
 
Utaratibu wa kutoa post za "Thank You" kupitia mitandao ya kijamii kwa wachezaji au makocha wa benchi la ufundi wanaokoma kuitumikia timu umekuwa ni utaratibu mpya ulioanza kutumiwa na timu zetu hivi karibuni. Ukiangalia kwa makini namna tangazo la "Thank You", imeonekana kama ni unafki fulani kwa maana limekuwa linatumika zaidi kwa wachezaji ambao wameonekana hawana msaada tena kwa timu husika. Sijaona Thank You ikitumika kwa mchezaji aliyeuzwa au kwa kocha aliyeondoka huku club ikiwa bado inamuhitaji.

Sijaona Yanga wakipost Thank You kwa kocha msaidizi Cedric Kaze aliyekuwa mtu muhimu sana kwa misimu kadhaa pale Yanga. Inaonyesha kuondoka kwake pale Yanga kulikuwa kutokana na kutokubaliana mambo fulani fulani ya kimkataba.

Niliwahi kutabiri kuwa Yanga hawatapost Thank You kwa kocha wao wa viungo, Helmy Gueldich "Manywele" ambaye mashabiki wengi wa Yanga walikuwa wanaombea aendelee kuwepo pale Yanga. Nilisema huyu hawatatoa taarifa bali mtashangaa tu hayupo na nilikuwa sahihi, jamaa ameondoka kimya kimya bila taarifa yoyote kutolewa na Thank You yake haikutoka.

Je, huu uungwana tunaojaribu kuuonyesha kwa kutoa Thank You unatoka kweli moyoni kwa viongozi na watendaji wa vilabu hivi au hizi Thank You's zina maana nyingine?
Thank you Mkuu.
 
Ukitaka kujua unafki wa mswahili angalia majibu yanayotolewa humu ndani
 
Bado sijaona hoja ya msingi ya kunijibu swali langu
Hao unaotaka wapewe thank you, wamekuomba uje uwasemee humu jukwaani?
Au ni lazima Yanga iweke mitandaoni hilo tangazo la kuwaaga?

By the way, mchezaji wenu wa zamani Jonas Mkude matamualika siku ya simba day kama mlivyoahidi, ili muagane naye kwa heshima?
 
Hao unaotaka wapewe thank you, wamekuomba uje uwasemee humu jukwaani?
Au ni lazima Yanga iweke mitandaoni hilo tangazo la kuwaaga?
Majibu ya haya maswali najua unayo

By the way, mchezaji wenu wa zamani Jonas Mkude matamualika siku ya simba day kama mlivyoahidi, ili muagane naye kwa heshima?
At least Mkude alipewa Thank You yake nyie mkaona nongwa mkatengeneza katuni ya kumuharibia halafu leo kinafki mnauliza maswali haya
 
Back
Top Bottom